CCM Morogoro wamjibu Lissu – Mtanzania

*Wasema hoja zake hazina mshiko Na Ashura Kazinja, Morogoro Katibu wa Siasa, Uenazi na Mafunzo Mkoa wa Morogoro, Zangina Shanang amejibu hoja tano zilizotolewa na Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu na wenzake katika mkutano wa hadhara uliofanyika Aprili 30, mwaka huu mkoani Morogoro na kusema kuwa hoja hizo ni za upotoshaji. Katibu wa Siasa…

Read More

Walimu 12,000 kuajiriwa mwaka huu wa fedha

Dodoma. Wakati Tanzania ikiwa na upungufu wa walimu 271,025 kuanzia ngazi ya awali, msingi hadi sekondari kwa mujibu wa Tamisemi, Serikali imesema katika mwaka wa fedha 2023/24 itaajiri  walimu 12,000 ambao watapangiwa vituo vya kazi katika maeneo yenye upungufu. Naibu Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi),…

Read More

SERIKALI YAAINISHA MPANGO WA KUSAIDIA WACHIMBAJI WADOGO NCHINI

Waziri wa Madini Mh. Anthony Mavunde ameainisha mpango wa serikali wa kusaidia utatuzi wa changamoto zinazowakabili wachimbaji wadogo nchini. Mh Mavunde ameyasema hayo leo wakati akijibi swali la Mh Dkt. Christine Gabriel Ishengoma Mbunge wa Viti Maalum aliyetaka kujua mpango wa serikali kuwasaidia Wachimbaji Wadogo wa Madini Wilaya ya Ulanga. Akijibu awali hilo Waziri Mavunde…

Read More

Mafuriko Jangwani, mwendokasi yasitisha huduma

Dar es Salaam. Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart) umeifunga Barabara ya Morogoro eneo la Jangwani asubuhi ya leo Alhamisi Mei 9, 2024 kutokana na mafuriko ya mvua kubwa zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini ikiwemo jijini Dar es Salaam. Taarifa kwa umma iliyotolewa na  Dart imesema kutokana na kufungwa kwa eneo hilo,  mabasi kwa njia…

Read More