Lissu awajibu CCM fedha chafu, Muungano

Dar es Salaam. Siku moja baada ya Katibu wa Itikadi, Mafunzo na Uenezi wa CCM, Amos Makalla kuitaka Chadema kujisafisha kutokana na kauli ya Makamu Mwenyekiti (Bara), Tundu Lissu aliyedai kuwepo kwa fedha zilizomwagwa ili kuharibu uchaguzi wa ndani wa chama hicho, akisema hakuna mtu aliyemwambia amedanganya. Pia, amesema wanachomwambia angezungumzia kwenye vikao vya ndani…

Read More

Mwenge wa Uhuru wamulika ununuzi wa umma

Dar es Salaam. Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa mwaka 2024, Godfrey Mnzava ameshauri zabuni za ununuzi wa umma kutangazwa kwenye mfumo ili kupunguza malalamiko na manung’uniko. Mwaka 2023 Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) ilianzisha mfumo mpya wa ununuzi wa kieletroniki (NeST) utakaosaidia kudhibiti rushwa wakati wa mchakato wa zabuni,…

Read More

Rais Samia aagiza bei ya gesi kupungua

Dar es Salaam. Huenda bei ya gesi ya kupikia ikapungua kutoka ile inayouzwa sasa, baada ya Serikali kuanza utekelezaji wa mkakati wa matumizi ya nishati safi ya kupikia. Dalili ya kupungua bei ya nishati hiyo, imetokana na kauli ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kuitaka Wizara ya Nishati ishirikiane na sekta binafsi kuona namna ya…

Read More

TAS yataka juhudi za pamoja kukabili unyanyapaa, ukatili

Dar es Salaam. Tukio la kujeruhiwa mtoto mwenye ualbino mkoani Geita limekiibua Chama cha Watu wenye Ualbino Tanzania (TAS), kikiikumbusha Serikali na mamlaka husika kuhusu uhitaji wa juhudi za pamoja za kukabiliana na unyanyapaa na ukatili. TAS imesema juhudi hizo ni pamoja na Wizara ya Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -Kazi, Vijana, Ajira na Wenye…

Read More