
HAKUNA MTU ALIYE NA HAKI YA KUITISHIA ICC – DUJARRIC
Maseneta wa Marekani walioitishia Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC). Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Stephen Dujarric ameeleza kuwa misaada inapaswa kuingia Ukanda wa Gaza bila ya kizuizi chochote na kwamba upande wowote haupaswi kutoa vitsho kwa wafanyakazi wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC). Dujarric ambaye ni Msemaji wa Katibu Mkuu…