BARRICK ILIVYOADHIMISHA SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI

Mfanyakazi bora wa Barrick, Dativa Katabaro, akipokea zawadi kutoka kwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dk.Philip Mpango. Wafanyakazi wa mgodi wa Barrick waliochaguliwa wafanyakazi bora wakipokea vyeti kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga,Anamringi Macha. Wafanyakazi wa mgodi wa Barrick waliochaguliwa wafanyakazi bora wakipokea vyeti kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga,Anamringi…

Read More

Serikali kuimarisha huduma za maabara ngazi ya msingi

Wizara ya Afya kwa kushirikiana na wafadhili wa Global Fund wametoa vifaa vya Tehama kwa Ofisi ya Rais TAMISEMI ili kusaidia kuongeza upatikanaji wa Huduma bora za maabara na afya kwa ngazi ya msingi. Hayo yamebainishwa leo jijini Dodoma na Mkurugenzi wa Huduma za Uchunguzi na Matengenezo ya Vifaa Tiba, Dkt. Alex Magesa wakati akimwakilisha…

Read More

KANALI MALLASA AWAASA WAHITIMU JKT DHIDI YA UHALIFU

MKUU wa wilaya ya Kakonko Kanali Evance Mallasa,akikagua Gwaride la Heshima kabla ya kufunga mafunzo ya awali ya kijeshi kwa vijana wa Kujitolea ‘Operesheni ya Miaka 60 ya JKT’, katika kikosi cha Jeshi cha 824 KJ Kanembwa wilayani Kakonko Mkoani Kigoma. MKUU wa wilaya ya Kakonko Kanali Evance Mallasa,akishuhudia kiapo cha utii cha vijana wa…

Read More

Bodi ya makandarasi kuanza operesheni kukagua miradi mikubwa nchini

Arusha. Kutokana na miradi mingi mikubwa hususani ya barabara kutekelezwa chini ya kiwango, Bodi ya Usajili wa Makandarasi (CRB), imesema inaanza operesheni maalumu kukagua miradi hiyo. Pia, imesema kupitia operesheni hiyo itakayoanza mwezi huu, itajiridhisha endapo makandarasi wa nje walioingia mikataba na Serikali wanafanyakazi kwa mujibu wa sheria na kinyume na hapo, hatua zitachukuliwa dhidi…

Read More