CCM yawakalia kooni wanaojipitisha mapema kusaka udiwani, ubunge

Dar es Salaam. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeweka utaratibu maalumu wa kufuatilia mwenendo wa makada wenye hiyo makada wanaoapitisha kwa nia ya kusaka udiwani, ubunge na uwakilishi kabla ya muda ili kuwadhibiti. Utaratibu huo utahusisha upokeaji wa tuhuma dhidi ya makada wanaokiuka utaratibu wa chama hicho, ikiwemo kuanza kampeni mapema ili kuwashughulikia wote watakaobainika. Hatua…

Read More

Israel yatia shubiri Gaza wakisherehekea Hamas kusitisha mapigano

WAKATI kundi la Hamas huko Gaza likitangaza kuridhia pendekezo lao la kusitisha mapigano, Israel imetangaza kupeleka vifaru kwenye mji wa Rafah na kuwataa udhibiti wa mpaka kati ya Gaza na Misri. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa… (endelea). Jana Jumatatu, Kiongozi wa kundi hilo la Hamasi, Ismail Haniyeh aliwafahamisha wapatanishi Quatar na Misri kuidhinisha pendekezo lao la…

Read More

SERIKALI YAUNDA KAMATI YA UCHAMBUZI VIWANGO VYA PENSHENI

Peter Haule, WF, Dodoma SERIKALI imesema kuwa imeunda kamati ya kukusanya na kuchambua maoni na mapendekezo ya viwango vya nyongeza ya pensheni ili kuwezesha maandalizi ya rasimu ya Waraka wa Baraza la Mawaziri kuhusu nyongeza ya pensheni kwa wastaafu wanaolipwa na Hazina. Hayo yameelezwa bungeni jijini Dodoma na Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck…

Read More

Kisukari cha mimba ni nini?

Kisukari cha mimba ni aina ya kisukari kinachotokea kwa baadhi ya wanawake wakati wa ujauzito. Katika kisukari cha mimba mwili wa mama hutengeneza kiasi cha kutosha cha insulini lakini huzuiwa kufanya kazi na vichocheo vingine ambavyo hutengenezwa na mwili wa mama wakati wa ujauzito. Kadiri mimba inavyozidi kukua ndivyo vichocheo vinavyotengenezwa na mwili wakati wa…

Read More