Kila mwanachama mwenye sifa anaruhusiwa kugombea nafasi yoyote,lakini kwenye uteuzi si kila mtu atateuliwa

Katibu mkuu wa Jumuiya ya wazazi CCM Taifa, Ally Salum Hapi amewatahadharisha watu wenye nia ya kugombea nafasi mbalimbali katika chaguzi zijazo kupitia chama cha mapinduzi hususani katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajia kufanyika mwaka huu na uchaguzi mkuu mwakani 2025 kuelewa namna mchakato wa kupata wagombea unavyokuwa kwani kwa mujibu wa katiba kila…

Read More

Mbivu, mbichi urais wa Ramaphosa mwezi huu

MWISHONI mwa mwezi huu, raia wa Afrika Kusini watapiga kura katika uchaguzi mkuu ambao unaweza kuleta mabadiliko makubwa zaidi ya kisiasa katika miongo mitatu, huku chama tawala cha African National Congress (ANC) kikiwa katika hatari ya kupoteza wingi wake wa wabunge. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa… (endelea). Zaidi ya watu milioni 27 wameandikishwa kwenye daftari la…

Read More

Rais Vladimir Putin ala kiapo cha awamu ya tano ya urais – DW – 07.05.2024

Kwenye shughuli ya uapisho, Rais Vladimir Putinamesema anayachukulia mamlaka ya urais nchini humo kama “jukumu takatifu”. Akasisitiza katika Ukumbi wa Saint Andrew ambako amekula kiapo kwamba kuitumikia Urusi ni heshima kubwa, wajibu na jukumu takatifu, huku akiwarai raia wa taifa hilo kuvikabili vikwazo dhidi yao kwa kuungana pamoja. “Nina imani kuwa tutapita katika kipindi hiki…

Read More

Serikali yaunda kamati kupitia nyongeza ya pensheni

Dodoma. Serikali ya Tanzania imeunda kamati kukusanya na kuchambua maoni na mapendekezo ya viwango vya pensheni ili kuwezesha maandalizi ya rasimu ya Waraka wa Baraza la Mawaziri kuhusu nyongeza ya pensheni kwa wastaafu wanaolipwa na Hazina. Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba amesema hayo leo Jumanne Mei 7, 2024 wakati akijibu swali la Mbunge wa…

Read More

Putin kuapishwa mchana huu akifukuzia miaka 30 madarakani

Moscow. Rais wa Russia, Vladimir Putin anaapishwa mchana wa leo Jumanne Mei 7, 2024 kuliongoza tena taifa hilo kwa kipindi kingine cha miaka sita, kitakachokamilisha atafikisha 30 akiwa madarakani. Putin ambaye ameliongoza taifa hilo kwa miaka 24, alichaguliwa tena Machi 2024 kushika wadhifa huo kwa miaka sita ijayo. Ataapishwa kushika wadhifa huo katika hafla ya…

Read More

Warombo wataka kuanzisha benki yao

Dar es Salaam. Wenyeji wa Rombo wanaoishi Mkoa wa Dar es Salaam wamehamasishana kushirikiana kuanzisha benki yao itakayowasaidia kukuza uchumi wa pamoja. Wamesema endapo wazo hilo litafanikiwa, benki hiyo itawapa fursa ya kuanzisha viwanda vikubwa na vidogo nchini, hivyo kukuza uchumi kwa mwananchi mmoja mmoja na kuleta maendeleo mapana kwa Taifa. Wananchi wa Rombo wanaoishi Dar…

Read More

Halmashauri ya wilaya ya Wanging’ombe imepokea zaidi ya Bilioni 1.03 kwenye zoezi la elimu bila malipo

Halmashauri ya Wilaya ya Wanging’ombe mkoani Njombe imepokea zaidi ya bilioni 1.03 kwa ajili ya kuwezesha zoezi la elimu bila ya malipo katika shule 120 wilayani humo. Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa halmashauri hiyo Agnetha Mpangile wakati akifungua kikao cha baraza la madiwani cha kipindi cha robo ya tatu kilichofanyika wilayani humo. Mpangile amesema halmashauri…

Read More