SERIKALI KUFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA MIUNDOMBINU NA UNUNUZI WA VIFAA VYA KISASA UMEONGEZA TIJA NA UFANISI WA BANDARI -TPA
Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imesema maamuzi ya Serikali kufanya uwekezaji mkubwa katika miundombinu na ununuzi wa vifaa vya kisasa pamoja na kushirikisha sekta binafsi katika uendeshaji wa Bandari nchini, yamekuwa na tija kwa kuongeza ufanisi na uwezo wa Bandari ya Dar es Salaam, kuhudumia tani milioni 27.7 kwa mwaka wa fedha wa…