Watoto wanene kupita kiasi waanza kupungua

Dodoma. Ni matumaini makubwa kwa familia ya Joseph Kalenga na mkewe Vumilia Elisha baada ya watoto wao Imani (7) na Gloria Joseph (4) waliokuwa na uzito kupita kiasi, kuanza kupungua uzito. Mafanikio hayo yamefuatia matibabu lishe waliyopewa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili-Mloganzila, waliyopewa wiki chache zilizopita. Mpaka kufikia leo Jumatatu Mei 6, 2024 Imani amepungua…

Read More

Utoro chanzo cha ufaulu mdogo Geita

Geita. Wakati kiwango cha ufaulu kwa wanafunzi wa shule za sekondari mkoani Geita kikiwa chini ya asilimia 40, utoro wa wanafunzi, umetajwa kuwa sababu kubwa inayochangia mkoa huo kuwa chini kitaaluma kukiwa na kundi kubwa la watoto wanaojihusisha na shughuli za uzalishaji mali na kuacha kuhudhuria masomo. Taarifa ya elimu ya mkoa huo imeweka wazi…

Read More

BARAZA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR WAFANYA ZIARA EWURA

    Kamati ya Baraza la Wawakilishi ya Mawasiliano, Ardhi na Nishati Zanzibar, imefanya ziara kwa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) ili kupata uzoefu wa shughuli za udhibiti leo tar. 6 Mei 2024. Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mhe. Yahaya Rashid Abdala, ameishukuru EWURA kwa kuwakaribisha vizuri na kueleza imani yake…

Read More

Wauguzi Dar wataka siku zaidi za mapumziko

Dar es Salaam. Wauguzi na wakunga wa mkoa wa Dar es Salaam, wamelalamikia kufanya kazi zaidi ya saa nane kwa siku, pamoja na kutumia siku 28 mpaka 30 wakiwa kazini bila mapumziko. Wauguzi hao wamesema licha ya kupata mapumziko ya likizo ya siku 28 kwa mwaka, bado wameendelea kufanya kazi kwa saa 12 kila siku….

Read More

CHMT ZATAKIWA KUSIMAMIA UKAMILISHWAJI WA MAJENGO YA KIPAUMBELE

OR-TAMISEMI Mkurugenzi wa Idara ya Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe Ofisi ya Rais – TAMISEMI Dkt. Rashid Mfaume amezielekeza timu za usimamizi wa shughuli za Afya ngazi ya Halmashauri (CHMT) kusimamia na kushauri ukamilishwaji wa majengo ya kipaumbele badala ya kujenga majengo mengi bila kukamilika. Dkt. Mfaume ametoa maelekezo hayo baada ya kukagua shughuli za…

Read More

WATAALAMU WA VINASABA TUMIENI TEKNOLOJIA,WELEDI UWE KIPAUMBELE KWENYE MAJUKUMU YENU: DKT. JINGU

Na.mwandishi wetu_Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. John Jingu, ametoa rai kwa kamati ya kitaalamu wanaofanya uchunguzi wa Vinasaba vya Binadamu kuzingatia matumizi ya teknolojia huku wakizingatia weledi na kufuata maadili ya kazi ili kuepuka madhara au migogoro inayoweza kujitokeza. Dkt. Jingu amesema hayo leo 6 Mei, 2024 jijini Dodoma wakati akizindua Kamati…

Read More

Matibabu ya kibingwa na bobezi kupatikana ngazi za msingi

Iringa. Huduma za afya za kibingwa na ubingwa bobezi sasa zimeanza kupatikana katika afya ya msingi, baada ya kuzinduliwa rasmi kwa mpango wa kambi za madaktari bingwa waliosambaa nchi nzima, kutoa matibabu kwenye hospitali zote 184 za halmashauri. Kwa kawaida, kambi za huduma za madaktari bingwa, zimekuwa zikifanyika katika hospitali za rufaa za kanda au…

Read More