Mshitakiwa akiri kumuua shangazi yake akimtuhumu kwa uchawi

Geita. Mshtakiwa Peter Lameck (25) anayekabiliwa na kesi ya mauaji ya shangazi aitwaye Isanziye Mwinula (67) amekiri kutenda kosa hilo, lakini akadai kuwa alimuua shangazi yake huyo bila kukusudia kutokana na tuhuma za kuwaua ndugu zake pamoja na mtoto wake (mshtakiwa) kwa uchawi. Mshtakiwa huyo amekiri kutenda kosa hilo leo, Mei 6, 2024, wakati kesi…

Read More

Marubani wa ATCL kutoa shule ya Airbus Nigeria

Dar es Salaam. Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), limeingia makubaliano ya kupeleka marubani wake,  kufundisha na kusimamia ndege mpya za Airbus A220 za Kampuni ya Ndege ya Ibom iliyopo nchini Nigeria. Mkurugenzi Mtendaji wa ATCL, Ladislaus Matindi, amethibitisha kuwepo kwa makubaliano hayo,  ambapo amesema ATCL imetoa marubani wake waandamizi wawili ambao watakuwa na jukumu la…

Read More

Aliyeshiriki kuchanganya udongo wa Muungano kuzikwa Jumatano

Moshi. Hassaniel Mrema (80), mmoja wa vijana walioshiriki tukio la kuchanganya udongo siku ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Aprili 26, 1964, anatarajiwa kuzikwa Jumatano Mei 8, 2024 nyumbani kwake katika kijiji cha Mdawi, Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro. Mzee Mrema ambaye alizaliwa Juni 23, 1944, alifariki, Jumamosi ya Mei 4, 2024 saa 12:00 asubuhi,…

Read More

Bashungwa aapa kutoondoka Lindi, kisa barabara

Kilwa. Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema hatoondoka mkoani Lindi, hadi pale agizo lake la kujengwa kwa barabara iliyokatika kujengwa ndani ya saa 72 litakapokamilika. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumatatu Mei 6, 2024 alipotembelea eneo la Mto Matandu, Waziri Bashungwa amesema atajitahidi kufika maeneo yote yaliyopata madhara hata ikiwa kwa boti. “Kwa namna yoyote…

Read More