WANAFUNZI WA KIMATAIFA CHUO KIKUU MZUMBE WAWASILISHA MATOKEO YA TAFITI ZA AWALI KUHUSU MAJI, ELIMU NA USALAMA WA CHAKULA

Wanafunzi kutoka Chuo Kikuu cha Antwerp Ubelgiji na Chuo Kikuu cha Kikristu cha Uganda ambao wapo katika programu ya kubadilishana Wanafunzi na Chuo kikuu Mzumbe wamewasilisha matokeo ya awali ya tafiti walizofanya kwenye maeneo ya maji, elimu na usalama wa chakula kwa kusimamiwa na wahadhiri wa Chuo Kikuu Mzumbe ikiwa ni sehemu ya mafunzo yao…

Read More

Mafuriko, maporomoko ya udongo yaua 78 Brazil

Rio de Janeiro. Unaweza kusema mafuriko yameendelea kuwa mwiba maeneo mbalimbali ulimwenguni. Hii  ni kutokana na kusababisha vifo, majeruhi na uharibifu wa mali pamoja na miundombinu. Mbali na Tanzania, Kenya, na Falme za Kiarabu ambapo yameripotiwa kusababisha madhara makubwa pia vyombo mbalimbali vya habari vimeripoti vifo vya watu takribani 100 katika jimbo la kusini la…

Read More

RC CHONGOLO AIPA HEKO TANROADS//BIL 5.7 ZATOLEWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA MIUNDOMBINU MKOANI SONGWE

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mhe. Daniel Chongolo ameipongeza timu ya wataalamu wa Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) kwa kufanya kazi kwa haraka na ufanisi mkubwa kuhakikisha barabara zinapitika mkoani Songwe. Rc Chongolo ameeleza kuwa changamoto ya uharibifu mkubwa wa miundombinu umefanyiwa kazi kwa haraka na timu ya wataalamu wa TANROADS na TARURA jambo ambalo…

Read More

Kinana: Hatukubali kushutumiwa kwa uongo

Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Abdulrahman Kinana amesema viongozi wa chama hicho hawakatai kukosolewa, kusahihishwa, lakini hawakubali kuzushiwa wala kushutumiwa kwa mambo ambayo hayapo au ya uwongo. Pia amewataka Watanzania kutokubali kufarakanishwa, kupandikizwa chuki dhidi ya Rais Samia Suluhu Hassan kuwa hana nia njema na Bara. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Kinana ametoa kauli hiyo…

Read More

Mjane aliyekuwa akilala barabarani ajengewa nyumba

Dar es Salaam. Mjane Judith Wambura, aliyekuwa akilala kwa miezi miwili mfululizo katika mataa Ubungo jijini hapa,  amekabidhiwa nyumba mpya iliyojengwa kwa mchango wa  wasamaria wema. Judithi alijikuta katika hali hiyo akiwa na watoto wake watano,  baada ya mume wake kufariki na baadaye ndugu zake kumfukuza kwenye nyumba waliyokuwa wakiishi. Hafla ya kukabidhiwa nyumba hiyo ilifanyika jana…

Read More

Watenda kazi chuo cha Mkwawa wapatiwa semina kuhusu usawa wa kijinsia katika maeneo yao ya kazi

Kaimu Rais wa chuo Kishiriki Cha Elimu Mkwawa kilichopo Manispaa ya Iringa Mkoani Iringa, Profesa Deusdedit Rwehumbiza amewahimiza wafanyakazi chuoni hapo kuishi yale wanayowafundisha wanafunzi ili wanafunzi waige matendo mema kutoka kwao. Profesa Rwehumbiza ameyasema hayo wakati wa semina kuhusu masuala ya usawa wa kijinsia katika maeneo ya kazi kwa watumishi wa chuo hicho yaliyofanyika…

Read More