RC SENYAMULE AZINDUA BONANZA LA MICHEZO DUWASA

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule leo Mei 04,2024 amezindua Bonanza la Siku ya Michezo ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) lenye lengo la kuhamasisha wafanyakazi kushiriki michezo na kufanya mazoezi ili kuepukana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza. Mhe. Mkuu wa Mkoa ambaye alikuwa Mgeni Rasmi katika Bonanza hilo…

Read More

Mpenzi wako ana hasira? Fanya haya…

Dar es Salaam. Katika mahusiano ya aina yoyote, hakuna anayeweza kusema hajawahi kukasirika. Mara kwa mara tunakwazana na kukasirishana, ingawa wako wale ambao hasira yao iko karibu zaidi na huja kwa ukali zaidi na mara nyingine huleta madhara katika vitu, watu au hisia za mpenzi mwingine. Hapa nataka nikusaidie jinsi ambavyo unaweza kufanya pale mpenzi…

Read More

NAIBU WAZIRI PINDA AKABIDHI GARI LA WAGONJWA MPIMBWE

  Na Munir Shemweta, MLELE Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Mbunge wa jimbo la Kavuu katika halmashauri ya Mpimbwe wilaya ya Mlele mkoa wa Katavi Mhe, Geophrey Pinda amekabidhi gari la wagonjwa kwa ajili ya Kituo cha Afya Kibaoni. Mhe, Pinda amekabidhi gari hiyo tarehe 4 Mei 2024 katika hafla maalum…

Read More

Hidaya apoteza nguvu baada ya kuingia Mafia

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) kupitia mwendelezo wa taarifa zake kuhusu kimbunga Hidaya imesema kimekosa nguvu baada ya kuingia nchi kavu katika Kisiwa cha Mafia. Taarifa hiyo imetolewa jana Jumamosi Mei 4, 2024 saa 5.59 usiku. “Taarifa hii inahitimisha mfululizo wa taarifa wa kilichokuwa kimbunga Hidaya zilizokuwa zikitolewa na TMA…

Read More

Kamati ya Bunge yaridhishwa na maelekezo wanayotoa kwa DART

*DART yaahidi kufanyia kazi maelekezo mengine kiutendaji Na Chalila Kibuda, Michuzi TV Kamati ya Bunge ya Kudumu ya TAMISEMI imesema kuwa imeridhishwa maelekezo wanayotoa kwa Wakala wa Mabasi yaendayo (Haraka) yanafanyiwa kazi. Hayo ameyasema Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo Justin Nyamoga wakati Kamati hiyo ilipotembelea Miradi ya Mabasi yaendayo Haraka jijini Dar es Salaam amesema…

Read More

RC MAKONDA ATANGAZA WIKI YA HAKI ARUSHA

Makonda akizungumza na waandishi wa habari Leo. Mei 3/4/2024 amewaalika wananchi kuleta kero mbalimbali ikiwemo kudhulumiwa au kunyanyaswa kijinsia Na. Vero Ignatus,Arusha Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda ametangaza wiki ya Haki mkoani hapa huku akiwataka wananchi kama yupo aliyedhulumiwa au kufanyiwa ukatili Kufika ofisi ni kwake siku ya Jumatano Akizungumza na wanahabari…

Read More