RC Mtaka amjia juu afisa kilimo kwa kushindwa kusimamia mradi

Mkuu wa mkoa wa Njombe Anthony Mtaka amewaagiza wataalamu wa serikali kushirikiana na taasisi binafsi zinazotekeleza miradi mkoani humo kutekeleza miradi yao kwa ufanisi na kupata matokeo chanya kutokana na fedha nyingi wanazotumia kwenye utekelezaji wa miradi hiyo. Mtaka ametoa maagizo hayo wilayani Wanging’ombe baada ya kushindwa kuridhishwa na kazi anayoifanya afisa kilimo wa kata…

Read More

ASKOFU MABOYA AHIMIZA HAKI KATIKA KUWATUMIKIA WATANZANIA.

Askofu Mkuu wa Kanisa la Calvary Assemblies of God, Mtume Dkt. Dunstan Maboya akiambatana na Viongozi wengine wa kanisa hilo wameongoza maombi Maalum ya kumuombea Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Makonda na kuwatakia mafanikio mema kwenye kuwatumikia wananchi. Askofu Dkt….

Read More

MSAADA WA AMREF NA CDC YAWANUFAISHA WANAFUNZI 3,000 HANANG’

Na Mwandishi wetu, Hanang’ SHIRIKA la Amref Tanzania na shirika la Marekani la kudhibiti na kuzuia magonjwa (CDC) limewanufaisha wanafunzi 3,000 wa shule za msingi na sekondari wilaya ya Hanang’ mkoani Manyara, baada ya kuwajengea miundombinu ya kudhibiti magonjwa ya milipuko. Mashirika hayo yamewanufaisha wanafunzi hao kwa kuzindua maeneo ya kunawa mikono na kukarabati vyoo….

Read More

WABUNGE WASHIRIKI SEMINA YA UELEWA KUHUSU MRADI WA SGR

WIZARA ya Uchukuzi kupitia Shirka la Reli Tanzania – TRC limefanya semina elekezi kwa Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusu utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa reli ya kiwango cha kimataifa – SGR unaoendelea, semina imefanyika katika ukumbi wa Bunge jijini Dodoma, Mei 2023. Lengo la Semina ni kuwajengea uelewa wa pamoja wabunge…

Read More

Kasi ya ACT Wazalendo na tathmini ya miaka 10 ijayo

Kigoma. Safari ya miaka 10 tangu kuanzishwa kwa Chama cha ACT Wazalendo inaandikwa leo usiku, huku viongozi wake wakitabiri taswira ya chama hicho katika miaka kumi ijayo. Kwa mtazamo wa viongozi hao, katika miaka 10 ijayo, ACT Wazalendo ndicho kitakachoshika hatamu ya uongozi serikalini, kielelezo cha ushirikishwaji wa vijana katika siasa na taswira halisi ya…

Read More

WAKAZI LOBO WATOA LAWAMA KWA VIONGOZI WA KIJIJI NA CCM KUKACHA MKUTANO WA DIWANI

-Wawatuhumu kuogopa kuulizwa uuzaji wa ardhi Na Mwandishi wetu, Simanjiro  WAKAZI wa Kijiji cha Loiborsiret Wilayani Simanjiro mkoani Manyara, wamewashukia Mwenyekiti wa kijiji hicho  Kimaai Saruni na Mwenyekiti wa CCM wa kata hiyo Aloyce Teme kwa kukacha mkutano wa Diwani wa kata ya Loiborsiret, Ezekiel Lesenga (Maridadi). Wananchi hao wamedai kuwa viongozi hao wamegoma kushiriki…

Read More

Kauli ya Lissu yazidisha fukuto Chadema

Dar es Salaam. Katika hali inayoendelea kufukuta ndani ya Chadema, kufuatia kauli ya Makamu Mwenyekiti wa chama hicho (Bara), Tundu Lissu kwamba kuna fedha zimemwagwa katika uchaguzi wa ndani, kikao cha Kamati Kuu kinachosubiriwa ndio kinatajwa kutegua kitendawili. Kikao hicho ambacho hata hivyo tarehe yake haijapangwa, kinatarajiwa kuwa cha moto, huku hoja ya fedha kumwagwa…

Read More

TIC KUBORESHA HUDUMA KWA WAWEKEZAJI, WAZINDUA KITUO KIPYA

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Profesa Kitila Mkumbo wa pili kutoka kushoto akikata utepe kuashiria Uzinduzi wa Kituo Maalumu za kurahisisha huduma za Uwekezaji Nchini, Kutoka Kulia ni Meneja Uhusiano wa Azania Bank, Halima Semhunge, Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais- Mipango na Uwekezaji, Dkt. Tausi Kida na  Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo…

Read More