Watu watano mbaroni wakidaiwa kuiba runinga 35

Dar es Salaaam. Wakati matukio ya kuvunja na kuiba vitu mbalimbali vya ndani yakiripotiwa, Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam linamshikilia Esahu Francis (27) mkazi wa Makumbusho na wenzake wanne kwa kukutwa na runinga 35 za wizi. Mbali na matukio hayo pia Jeshi hilo linamshikilia Javan Changing (36) raia wa Kenya na…

Read More

Michoro ya kale Kondoa kuvuta watalii

Dodoma. Maadhimisho ya Siku ya Urithi wa Dunia kwa Afrika kesho Mei 5, 2024 kuwaleta watalii wa ndani na  nje kwenye michoro ya mapangoni iliyopo Kijiji cha Kolo, Kondoa Irangi mkoani hapa. Michoro hiyo ambayo ni Urithi wa Utamaduni na Malikale imetangazwa na Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (Unesco) kuwa moja…

Read More

Faida, hasara kwa wanandoa kuchunguzana

Utafiti uliofanywa na Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) ulibaini simu ni miongoni mwa sababu zinazochangia ndoa nyingi, hasa za vijana wa sasa kuvunjika. Hapa yanahusishwa matumizi ya simu kwa ujumla wake na athari zake kwa wenza, swali linakuja je, kuna haja ya kufuatilia mawasiliano ya mwenza wako ili kuhakikisha kila kitu kinakwenda sawa? Ni…

Read More

MAOKOTO YAMEONGEZWA MERIDIANBET KASINO NA EXPANSE TOURNAMENT.

MERIDIANBET Kasino ya Mtandaoni kuna shindano la Expanse ambalo mwanzo maokoto yalikuwa mengi lakini, Bosi kacheka ameamua kuongeza pesa na sasa kuna jumla ya Shilingi Milioni mia nne, bonasi za kasino, mizunguko na beti za bure. Jisajili Meridianbet usipitwe na Promosheni hii. Mtoa huduma wa michezo ya kasino ya mtandaoni Expanse Studio anashirikiana na Meridianbet…

Read More

Viongozi wadaiwa kukacha mkutano wa diwani Simanjiro

Simanjiro. Wakazi wa Kijiji cha Loiborsiret wilayani Simanjiro mkoani Manyara, wamewashukia mwenyekiti wa kijiji hicho  Kimaai Saruni na mwenyekiti wa CCM wa kata hiyo, Aloyce Teme kwa kutoshiriki mkutano wa Diwani wa Loiborsiret, Ezekiel Lesenga maarufu Maridadi. Wananchi wamedai viongozi hao wamegoma kushiriki mkutano wa diwani wao uliokuwa na agenda ya kusoma taarifa ya utekelezaji…

Read More

Wakazi, wanafunzi wakwama kivuko kikisimama kufanya kazi Lindi

Lindi.  Kivuko cha MV Kitunda kinachofanya safari zake kutoka Ng’ambo ya Lindi Mjini kwenda Kitunda kimesitisha safari kwa hofu ya Kimbunga Hidaya. Jana, Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania  (Temesa) umetangaza kusitisha huduma za vivuko katika mikoa mitatu ya Mtwara, Lindi na Pwani kufuatia tahadhari iliyotolewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) kuhusu…

Read More