Lissu: Fedha zimemwagwa kuvuruga uchaguzi Chadema

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu ameonya matumizi ya fedha katika chaguzi za ndani ya chama hicho, akiwataka wanachama kuwa makini na fedha alizodai “zimemwagwa kuvuruga uchaguzi huo.” Lissu pia amesema kuna ugomvi mkubwa katika Kanda ya Nyasa kutokana na uchaguzi wa ndani wa chama hicho, hivyo amewaonya wanachama wa chama hicho…

Read More

Neema kwa wagonjwa wa saratani

Dar es Salaam. Hospitali ya Aga Khan imezindua kituo cha matibabu ya saratani chenye hadhi ya kimataifa (CCC), kitakachotoa huduma kwa wagonjwa wa hospitali hiyo na Taasisi ya Saratani ya Ocean Road (ORCI) kilichogharimu Sh29.9 bilioni. Saratani inazidi kukua nchini, huku takwimu zikionyesha wagonjwa wapya 40,000 hugundulika, huku 27,000 wakifariki kwa saratani kila mwaka. Hata…

Read More

SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA MIUNDO MBINU YA ELIMU

Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa – TAMISEMI anayeshughulikia Elimu Mhe. Zainabu Katimba (Mb) amsema serikali inatambua umhimu na itaendelea kuboresha miundombinu ya Elimu ikiwemo Mabweni ya Wanafunzi, Uzio, Majengo ya Utawala na Mabwalo kupitia Miradi mbalimbali. Mhe. Katimba amesema hayo Bungeni Jijini Dodoma katika kipindi cha Maswali na…

Read More