Itachukuwa miaka 16, dola bilioni 40 kuijenga tena Gaza

Msaidizi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Abdallah al-Dardari, alisema siku ya Alkhamis (Mei 2) kwamba makisio ya awali ya Mfuko Maendeleo wa Umoja huo yalikuwa yanaonesha kwamba ujezi mpya wa Gaza utapindukia dola bilioni 30 na kwamba unaweza kufikia hadi dola bilioni 40. “Kiwango cha uharibifu ni kikubwa mno na kisichokadirika. Hii ni…

Read More

Mwanamke Rwanda ataka kupambana tena na Kagame

KIONGOZI wa kihistoria wa upinzani nchini Rwanda, Victoire Ingabire Umuhoza, amefungua kesi katika Mahakama ya Afrika Mashariki (EACJ) akitaka arejeshewe haki zake za kiraia, ikiwa ni pamoja na haki ya kugombea katika uchaguzi ujao. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Victoire Ingabire Umuhoza alifungua kesi hiyo mapema wiki hii. Anapinga serikali ya Rwanda kukataa kurejesha…

Read More

Urusi yadai kusonga mbele Ukraine – DW – 02.05.2024

Hayo yanajiri muda mfupi baada ya Ukraine nayo kudai kuwa Moscow ilifanya shambulio la kombora mjini Odesa na kuwajeruhi watu wanne. Wizara ya ulinzi ya Urusi imesema leo Alhamisi kuwa wanajeshi wake wamefanikiwa kuliteka eneo la Berdychi lililo mashariki mwa Ukraine. Taarifa ya wizara hiyo imetolewa kupitia shirika la habari la Interfax wakati Urusi ikiharakisha…

Read More

DKT. BITEKO ATAKA UTOAJI HUDUMA USIWE WA KIBAGUZI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema Serikali itaendelea kuboresha miundombinu ya utoaji wa huduma za saratani na vifaa tiba ili kutanua wigo wa huduma za Saratani nchini na hivyo kuwezesha upatikanaji wa huduma hizo kwa urahisi. Dkt. Biteko amesema hayo tarehe 2 Mei, 2024 wakati akimwakilisha Rais, Dkt. Samia…

Read More

NMB yang’ara maonesho OSHA

Benki ya NMB imebeba tuzo ya kampuni bora kwenye sekta ya fedha na bima kama mshindi wa pili (first runner up) katika tuzo zilizotolewa na Wakala wa Usalama na Afya Mahala pa Kazi (OSHA) wakati wa kufunga Wiki ya Maadhimisho ya Kimataifa ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi 2024 yaliyofanyika jijini Arusha. Anaripoti Mwandishi…

Read More