Wahamasishwa kukopa bodaboda na bajaji kujikwamua kiuchumi

Dar es Salaam. Katika kukabiliana na tatizo la ajira nchini, vijana wametakiwa kujitokeza kuomba mikopo ya pikipiki na bajaji za kufanyia biashara kwa lengo la kujikwamua kiuchumi. Hayo yamezungumzwa na Mkurugenzi wa masoko wa Kampuni ya Mohammed Enterprises Tanzania Limited (METL) na Mo Finance, Fatema Dewji alipokuwa akizindua rasmi kampuni ya mikopo Mo Finance itakayokuwa…

Read More

BRELA YAWASHIKA MKONO WATOTO WENYE UHITAJI – CHAKUWAMA

 Katika kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani maarufu kama Mei Mosi, Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), leo tarehe 01 Mei, 2024 imetembelea Kituo cha Watoto wenye uhitaji cha CHAKUWAMA kilichopo Sinza jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kutoa msaada wa vifaa mbalimbali. Akikabidhi msaada huo  kwaniaba ya Afisa Mtendaji Mkuu wa BRELA,…

Read More

SMZ yatenga Sh34 bilioni posho ya nauli kwa wafanyakazi

Unguja. Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Zanzibar (Zatuc), limewasilisha changamoto nane mbele ya Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi likiomba kufanyiwa kazi ili kuongeza ufanisi kwa wafanyakazi. Wakati Zatuc ikiwasilisha changamoto hizo, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imetenga Sh34 bilioni kwa ajili ya posho ya nauli kwa wafanyakazi, kila mtumishi atapewa Sh50,000. Akisoma risala…

Read More

Changamoto tisa wafanyakazi wakiadhimisha Mei Mosi

Dar es Salaam. Katikati ya sherehe ya Siku ya Wafanyakazi Duniani ‘Mei Mosi’ Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (Tucta) limetaja mambo tisa yanayowasibu wafanyakazi nchini na kupendekeza utatuzi wake. Miongoni mwa mambo hayo ni kupandishwa kwa mishahara, usuluhishi wa migogoro, ajira za mikataba, likizo ya uzazi kwa wanawake na marekebisho katika kikokotoo. Katika sherehe…

Read More

Serikali imalize mgogoro wa kikokotoo – ACT

Dar es Salaam. Chama cha ACT Wazalendo kimeitaka Serikali kumaliza mgogoro wa kikokotoo cha pensheni za wastaafu, kwa kurejesha kanuni za zamani za mafao zilizotumika kabla ya mwaka 2017. Kauli inakuja wakati maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) kitaifa yakiwa yamefanyika jijini Arusha na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali, huku mgeni rasmi akiwa Makamu…

Read More

Masauni,IGP Wambura waahidi Uchaguzi Huru

Na Mwandishi Wetu,DODOMA Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imewaahidi watanzania kuwepo kwa Uchaguzi Huru na Haki ikiwemo uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu pamoja na Uchaguzi Mkuu mwakani huku ikisisitiza kila mtu atapata haki yake ya kidemokrasia ya kuchagua na kuchaguliwa bila kuwepo kwa vihatarishi vya amani katika maeneo yote…

Read More

Ulimwengu waadhimisha Siku ya Wafanyakazi – DW – 01.05.2024

Viongozi wa mataifa mbali mbali huitumia siku hii katika kuahidi kuboresha mazingira kwa wafanyakazi wao, ikiwa ni pamoja na nyongeza za mishahara na marurupu. Kauli mbiu ya maadhimisho hayo mwaka huu ni kuhakikisha usalama na afya kazini wakati dunia ikishuhudia mabadiliko ya tabianchi. Nchini Ujerumani Kansela Olaf Scholz katika ujumbe wake wa kuadhimisha siku ya…

Read More