LSF YATIA SAINI PAMOJA NA BENKI YA STANBIC TANZANIA KULETA USHIRIKIANO WA KIMKAKATI WA KUTEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO

Jumatatu, Aprili 29, 2024 – Dar es Salaam, Taasisi isiyo ya kiserikali ya The Legal Services Facility (LSF), kwa kushirikiana na Benki ya Stanbic Tanzania, zimesaini makubaliano ya ushirikiano wa kutekeleza miradi ya maendeleo yenye lengo la kuwainua wanawake na wasichana kiuchumi, kielimu na kiafya. Mkataba huu wa miaka miwili unalenga katika kuweka juhudi na…

Read More

Watendaji watakiwa kusimia mfumo wa Force Account

Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Mhe. Christopher Ngubiagai amewatala Maafisa Tarafa na Watendajo wa Kata kuhakikisha wanasimamia kikamilifu matumizi ya mfumo wa Force Account ili kuondoa hoja za ukaguzi katika ngazi ya msingi. Mhe. Ngubiagai ametoa kauli hiyo tarehe 29 Aprili, 2024 wakati akifunga mafunzo kwa Maafisa Tarafa na Watendaji wa Kata Mkoa wa Mwanza…

Read More

Wanasheria Tanzania wapewa ujuzi kukabili uhalifu mtandao

Dar es Salaam. Ili kuimarisha utaalamu na mbinu za kisheria katika kukabiliana na uhalifu wa mtandao, Serikali inashirikiana na Urusi kubadilishana uzoefu na elimu juu ya masuala hayo. Katika kufanikisha hilo, wataalamu kutoka Ofisi ya Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Urusi wamewasili nchini na kutoa mafunzo kwa wanafunzi na wanataaluma ya sheria kuhusu masuala hayo. Ushirikiano…

Read More

KITUO CHA UWEKEZAJI TANZANIA (TIC) KUJENGWA ARUSHA

Mkurugenzi Mtendaji kituo cha uwekezaji Tanzania TIC Bw. Gilead Teri akizungumza na katika kongamano la uwekezaji katika Ukumbi wa mkutano Gran Melia Jijini Arusha, Aprili 30, 2024. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji Prof. Kitila Mkumbo akizungumza katika kongamano la uwekezaji kwenye sekta ya Utalii Jijini Arusha Leo 30april 2024 Waziri wa…

Read More

Serikali kujenga nyumba 562 za walimu

Dodoma. Serikali imesema mwaka wa fedha 2024/25, itajenga jumla ya nyumba za walimu 562 zinazotosha familia 1,124. Hayo yamesemwa leo Jumanne Aprili 30, 2024 na Naibu Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Zainabu Katimba wakati akijibu swali la Mbunge wa viti maalumu Jacqueline Andrew. Andrew amehoji mpango wa Serikali katika kujenga…

Read More

Marekani yakhofia mauaji ya kimbari Darfur – DW – 30.04.2024

Marekani imezitaka nchi zote zinazopeleka silaha kwa pande mbili zinazopambana katika vita nchini Sudan kusitisha hatua hiyo.Marekani imeonya kwamba historia inajirudia katika jimbo la Darfur,Magharibi mwa Sudan ambako yaliwahi kushuhudiwa mauaji ya halaiki miaka 20 iliyopita.  Kikao cha dharura cha baraza la usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu Sudan kilikuwa cha faragha na balozi wa…

Read More

Kahawa kuuzwa kwa ‘bajaji’ kukuza soko

Dodoma. Katika kuongeza masoko ya kahawa inayozalishwa nchini, Serikali imebuni na kutengeneza migahawa inayotembea kwa kutumia pikipiki za miguu mitatu kwa ajili ya kuuza kahawa katika maeneo mbalimbali ya umma na kwenye mikusanyiko ya watu. Naibu Waziri wa Kilimo, David Silinde amesema leo Jumanne Aprili 30, 2024 wakati wa kujibu swali la msingi la Mbunge…

Read More