
LSF YATIA SAINI PAMOJA NA BENKI YA STANBIC TANZANIA KULETA USHIRIKIANO WA KIMKAKATI WA KUTEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO
Jumatatu, Aprili 29, 2024 – Dar es Salaam, Taasisi isiyo ya kiserikali ya The Legal Services Facility (LSF), kwa kushirikiana na Benki ya Stanbic Tanzania, zimesaini makubaliano ya ushirikiano wa kutekeleza miradi ya maendeleo yenye lengo la kuwainua wanawake na wasichana kiuchumi, kielimu na kiafya. Mkataba huu wa miaka miwili unalenga katika kuweka juhudi na…