MIILI MITANO ILIYOSOMBWA NA MAFURIKO MOSHI YAAGWA.

NA WILLIUM PAUL, MOSHI.  MIILI mitano kati ya saba iliyosombwa na mafuriko kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali katika kata ya Kimochi na Mbokomu wilaya ya Moshi imeagwa leo katika viwanja vya KDC. Mafuriko hayo yaliyotokea usiku wa kuamkia Aprili 25 mwaka huu ambapo katika miili hiyo marehemu wanne ni wa familia moja akiwamo…

Read More

Wahitimu UDSM Five Class 2007 wanajambo lao

Na Mzandishi Wetu, Mtanzania Digital Wahitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ( UDSM) five Class 2007 wanatarajia kukutana jijini Dar es Salaam kubadilishana mawazo na kushirikishana fursa mbalimbali za maendeleo. Akizungumza na Mtanzania Digital leo Aprili 30,2024 jijini Dar es Salaam, Kiongozi wa wahitimu hao, Frank Gwaluma amesema kikao hicho kitafanyika The Deck…

Read More

Jamii yaombwa kusaidia matibabu watoto wenye mtindio wa ubongo

Dar es Salaam. Wananchi, mashirika ya umma na binafsi wameombwa kuchangia kampeni kuwasaidia watoto wenye mtindio wa ubongo walio chini ya uangalizi wa Hospitali ya CCBRT. Hatua hiyo inaelezwa itasaidia kuleta mabadiliko kwa watoto chini ya miaka mitano wenye mtindio wa ubongo. Imeelezwa kuna changamoto ya vifaatiba kwa ajili ya matibabu ya watoto hao hospitalini…

Read More

Wafanyakazi Manyara walia na kikotoo, mshahara mdogo.

Na John Walter -Manyara Wafanyakazi wameiomba serikali kushughulikia changamoto waliyonayo kwa muda mrefu juu ya kikokotoo cha mafao pindi wanapostaafu. Akizungumza katika maadhimisho ya Meimosi yaliyoandaliwa na shirikisho la vyama la Wafanyakazi (TUCTA) mkoa wa Manyara yaliyofanyika April 29,2024 uwanja wa Tanzanite Kwaraa mjini Babati , Katibu wa TUICO mkoa wa Manyara Juma Makanyaga amesema…

Read More

Wakazi Ileje waiangukia Serikali mradi wa maji ukamilike

Songwe. Wakazi wa miji ya Itumba na Isongole wilayani Ileje Mkoa wa Songwe wameiomba Serikali kuharakisha ujezi wa mradi wa maji unaojengwa kwa gharama ya Sh 4.9 bilioni ili kutatua changamoto ya huduma hiyo. Kukamilika kwa mradi huo kutawanufaisha wananchi takribani 20,000 wa eneo hilo. Wananchi wametoa maombi hayo kwa Mkuu wa Mkoa wa Songwe,…

Read More

‘Mbinu upelelezi kesi za majangili ziimarishwe’

Lushoto. Jaji wa Mahakama ya Rufani,  Dk Paul Kihwelo amehimiza kuimarishwa kwa mbinu za upelelezi wa mashauri ya uhalifu dhidi ya wanyamapori na misitu ili kupata ushahidi utakaowezesha haki itendeke kwa wenye hatia. Jaji Kihwelo ambaye pia ni Mkuu wa Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto (IJA) mkoani Tanga, amesema hayo jana Aprili 29, 2024…

Read More

BODA BODA CHANGAMKIENI ASILIMIA 10 YA MKOPO

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu amewahimiza Vijana wanaojishughulisha na Usafirishaji (Boda Boda) kuchangamkia asilimia 10 ya mikopo inayotolewa na Halmashauri zote nchini ili kuongeza tija na uzalishaji katika kazi zao. Mhe Ndejembi ametoa wito huo jijini Arusha wakati akihitimisha Mafunzo ya Usalama na Afya Mahali pa…

Read More