Ujenzi wa kudumu barabara, madaraja yaliyoharibiwa kusubiri mvua ziishe

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Waziri wa Ujenzi, Inocent Bashungwa amesema baada ya mvua kuisha wataanza kujenga barabara na madaraja ya kudumu katika maeneo yaliyoathiriwa. Akizungumza leo Aprili 29,2024 baada ya kufanya ziara kukagua miundombinu iliyoharibiwa na mvua katika Wilaya ya Kigamboni amesema kwa sasa wanarudisha mawasiliano ili barabara ziendelee kupitika wakati wakisubiri kupungua kwa…

Read More

Kigogo wa zamani Tucta afichua makubaliano ya kikokotoo

Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa zamani wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (Tucta), Nicolaus Mgaya amesema bado wafanyakazi wana safari ndefu ya kupata nyongeza ya kikokotoo, akitaja sababu ni Serikali kushindwa kuiwezesha mifuko ya hifadhi ya jamii kuwa na ukwasi wa kutosha. Mgaya pia amekosoa utendaji wa Tucta akisema imeshindwa kuibana Serikali katika kudai…

Read More

Mvua sio kikwazo tena DSM, Meridianbet yaja na mbinu mbadala kwa bodaboda

Mitaa iliitika mitaa ikaukubali mziki wa Magwiji wa Odds kubwa, Nyumba ya Mabingwa wa michezo ya ubashiri nakasino ya mtandaoni, ufalme wa washindi Meridianbet pale walipopita mitaa mbalimbali ya Jiji la Dar Es Salaam nakuwashika mkono wapambanaji wote. Watu wengi walijitokeza kuona ni nini Meridianbetwamewaletea na hapo ndipo tabasamu lilipofunguka mithili yajua la asubuhi linavyochomoza,…

Read More

Bashungwa awaondoa watendaji Kivuko cha Magogoni – Kigamboni

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amewaondoa watendaji wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) wanaosimamia usafiri wa kivuko kati ya Magogoni – Kigamboni na kuagiza kupangiwa kazi nyingine kwa kushindwa kusimamia kikamilifu huduma kwa wananchi wanaotumia kivuko hicho. Walioondolewa ni Meneja wa Vivuko Kanda ya Mashariki na Kusini, Mhandisi Lukombe…

Read More

Muhas yahadharisha hofu magonjwa ya mlipuko

Dar es Salaam. Wakati kukiwa na minong’ono ya uwepo wa ugonjwa wa kipindupindu katika baadhi ya maeneo, Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Dk Mohamed Mang’una amesema hakuna mgonjwa aliyethibitishwa kuugua maradhi hayo. Kwa upande mwingine, Mkurugenzi wa Huduma za Wanafunzi Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (Muhas), Profesa Tumaini Nyamhanga…

Read More

EWURA YAPATA TUZO USIMAMIZI BORA MIRADI YA KIMKAKATI

    Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Mashaka Biteko (kushoto) akimpatia tuzo ya EWURA, Ofisa wa EWURA anayehusika na ushirikishwaji wa wazawa katika Miradi ya Mafuta na Gesi Asilia nchini, Bw. Joseph Mboma (wa pili kulia). Mchumi kutoka EWURA,Bw. Joseph Mboma,akiwa ameshika ngao na cheti kilichotolewa kwa Mamlaka ya Udhibiti wa…

Read More

Kukazia hukumu kwatajwa kikwazo utoaji haki

Dar es Salaam. Wabunge wametaka utaratibu wa kukazia hukumu mtu anaposhinda kesi uangaliwe upya kwa kupeleka muswada wa mabadiliko ya sheria bungeni. Wabunge Mashimba Ndaki wa Maswa Magharibi na Edward Ole Lekaita wa Kiteto wameitaka Serikali ibadilishe sheria ya kukazia hukumu wakisema ni mlolongo mrefu, badala yake mtu anaposhinda kesi akabidhiwe haki yake bila kuchelewa….

Read More

WAZIRI KAIRUKI AKUTANA NA RAIS WA APIMONDIA KAMISHENI YA AFRIKA

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Apimondia Kamisheni ya Afrika, Bw. David Mukomana kwa lengo la kujadili maandalizi ya mkutano wa 50 wa Dunia wa Ufugaji Nyuki (APIMONDIA) na kuweka mikakati ya kufanikisha mkutano huo utakaofanyika nchini mwaka 2027. Akizungumza katika kikao hicho, kilichofanyika leo…

Read More

Washukiwa wa ‘mapinduzi’ Ujerumani wafikishwa mahakamani – DW – 29.04.2024

Wanachama tisa wa kundi hilo linaloongozwa na mfanyabiashara na mwanamfalme, Heinrich XIII Reuss, waliwasili kwenye mahakama ya mji wa kusini magharibi mwa Ujerumani, Stuttgart, wakisindikizwa na maafisa wa usalama siku ya Jumatatu (Aprili 29). Miongoni mwa washitakiwa hao alikuwamo mwanajeshi mmoja wa kikosi maalum, mbunge mmoja wa zamani wa chama cha siasa kali za mrengo wa…

Read More

TANZANIA, MISRI YAENDELEZA MAKUBALIANO SEKTA YA AFYA

  Na. WAF – Dodoma Serikali ya Tanzania na Misri ziliingia mkataba wa makubaliano kati ya Wizara ya Afya na Shirika la ALAMEDA Healthcare Group Oktoba, 2022 ili kushirikiana katika nyanja ya Afya hasa upande wa huduma za kimatibabu kwa kubadilishana uzoefu, usimamizi wa hospitali na matibabu ya wagonjwa wa Kimataifa. Waziri wa Afya Mhe….

Read More