Waziri Kiongozi wa Scotland atangaza kujiuzulu – DW – 29.04.2024

Hatua iliyochukuliwa na Humza Yousaf inaashiria anguko la kushangaza la  chama tawala Scotland cha SNP na inaimarisha nafasi ya chama cha upinzani cha Labour katika  kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi unaotarajiwa mwaka huu. Yousaf alisema anajiuzulu baada ya wiki iliyoshuhudia mivutano ya kisiasa iliyosababishwa na serikali yake kufuta makubaliano ya muungano na  chama cha kijani. Aidha…

Read More

SERIKALI KUFANYIA KAZI MADENI YA VYOMBO VYA HABARI

Na Mwandishi Wetu, Dodoma. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Wahariri wa Vyombo vya Habari nchini kuilinda taaluma ya habari kwa lengo la kuimarisha utendaji kazi wa sekta hiyo nchini. Ameyasema hayo leo Aprili 29, 2024 jijini Dodoma wakati akihutubia Jukwaa la Wahariri katika Mkutano wa 13 wa mwaka…

Read More

Viongozi wa Afrika wataka ufadhili zaidi wa mataifa tajiri – DW – 29.04.2024

Kwenye Kongamano la Maendeleo ya Kimataifa IDA linaloendelea jijini Nairobi nchini Kenya viongozi hao wamesema ili kufanikisha malengo hayo pana haja ya kufanywa mageuzi kwenye asasi za kimataifa ambazo hufadhili mataifa yanayostawi. Rais William Ruto wa Kenya aliyefungua rasmi Kongamano hilo la siku mbili, alitangulia kwa kupaza sauti kwa  mashirika wafadhili kuitikia mchango wa Chama…

Read More

Wanaharakati wahamishia mapambano mtandaoni | Mwananchi

Morogoro. Mratibu wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), Onesmo Olengurumwa amewataka watetezi wa haki za binadamu hapa nchini kuongeza kasi ya kuibua na kushughulikia changamoto za ukatili na ndoa za utotoni kwenye maeneo yao, ikiwemo mitandaoni ambako nako ukatili huo unafanyika. Akizungumza na Mwananchi leo Aprili 29, 2024 kwenye mafunzo maalumu…

Read More

DKT.BITEKO ATEMBELEA BANDA LA BARRICK KWENYE MAONESHO YA OSHA NA KUPONGEZA KAMPENI YAKE YA USALAMA YA ‘JOURNEY TO ZERO’

NAIBU  Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dk. Doto Biteko, ameipongeza Kampuni ya Barrick chini kupitia migodi yake ya Bulyanhulu, North Mara na Buzwagi kwa kuzingatia kanuni za Afya na usalama kwa ufasaha kupitia sera yake ya ‘Journey to zero’.   Biteko alitoa pongezi hizo baada ya kutembelea banda la Barrick Tanzania katika maonesho…

Read More

TAEC ilivyookoa maisha ya watu dhidi ya mionzi

Dar es Salaam. Tume ya Nguvu za Atomic Tanzania (TAEC) imezuia matukio 17 yaliyohusiana na mionzi ambayo yalikuwa na uwezekano wa kuleta madhara makubwa kwa jamii, endapo wasingeingilia kati. Matukio ambayo wameyazuia ni utumikaji wa urani kwenye mazao kwa ajili ya kuua wadudu na uingizwaji wa kifaa kizito cha mionzi ambacho hakijatajwa, kilichokuwa kinatafutiwa mteja….

Read More

Blinken airai Hamas kuridhia ombi la Israel kuwaachia mateka – DW – 29.04.2024

29.04.202429 Aprili 2024 Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Antony Blinken amewatolea mwito wanamgambo wa kundi la Hamas kukubali pendekezo la Israel la kuwaachilia huru mateka wanaowashikilia Gaza,ili kufungua njia ya usitishaji mapigano. https://p.dw.com/p/4fJVc Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Antony BlinkenPicha: Ichiro Ohara/Yomiuri Shimbun/AP Photo/picture alliance Wajumbe wa Hamas wanatarajiwa kukutana na…

Read More

Rais Samia, viongozi Afrika wataka mikopo nafuu

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amesema ili kuziwezesha nchi za Afrika kuwa na maendeleo shindani duniani, ni muhimu taasisi za fedha za kimataifa zizingatie utoaji wa mikopo yenye masharti nafuu. Amezitaka taasisi hizo kurahisisha masharti ya mikopo ili nchi za Afrika zijiinue kimaendeleo. Rais Samia ametoa kauli hiyo leo Jumatatu, Aprili 29, 2024…

Read More

Misri ina matumaini kuwa Israel, Hamas watafikia makubaliano – DW – 29.04.2024

Kauli hiyo ya Misri imetolewa leo na Waziri wake wa Mambo ya Nje, Sameh Shoukry, kando ya mkutano wa Jukwaa la Kiuchumi la Dunia unaoendelea mjini Riyadh nchini Saudi Arabia. Shoukry amesema anatumai  pendekezo hilolitazingatia misimamo ya pande zote mbili na kwamba wanasubiri uamuzi wa mwisho: “Kuna pendekezo ambalo lipo mezani, na linapaswa kutathminiwa na kukubaliwa…

Read More