Wataka shule zote zifundishe ufundi, ujasiriamali

Mbeya. Serikali imeombwa kuweka mkazo kwa shule zote za sekondari nchini, zifundishe pia masomo ya ufundi na ujasiriamali, kwa lengo la kumuandaa mhitimu  kujiajiri badala ya kusubiri kuajiriwa. Imeelezwa kwa kufanya hivyo, kutasaidia kuondoa dhana ya wengi kuwa mtu anasoma ili aje kuajiriwa. Hayo yamesemwa leo Jumamosi Aprili 27, 2024 na Mkuu wa Shule ya…

Read More

Mama asimulia ukuta ulivyodondoka na kuua watoto wake wanne

Dar es Salaam. “Sijui nimemkosea nini Mungu, amenipa adhabu kali inayoacha alama isiyofutika katika maisha yangu.” Haya ni maneno ya Mariamu Julius, aliyoitoa wakati akisimulia jinsi ajali ya ukuta wa nyumba ya jirani ulivyodondokea kwenye nyumba yake na kuchukua uhai wa watoto wake wanne. Amesema kama Mungu angempa kipawa cha kutabiri ajali hiyo kutokea au…

Read More

ACT Wazalendo wasisitiza kushushwa gharama za maisha

Moshi. Chama cha ACT Wazalendo kimeitaja hali ngumu ya kiuchumi miongoni mwa mambo manne ambayo kimesema bado ni changamoto kwa Watanzania. Pamoja na hilo, ambalo kimetaka lifanyiwe kazi, pia kimesema lipo tatizo la ajira,  kikokotoo cha pensheni ya wastaafu, na kukosa uhakika wa huduma bora za afya. Hayo yalielezwa jana na Kiongozi wa Chama hicho,…

Read More

Wanne familia moja wafariki dunia, madaraja yakatika

Dar/mikoani. Mvua zinazoendelea kunyesha katika mikoa mbalimbali, zimeendelea kuleta madhara ikiwemo kusababisha vifo vya watu wanne wa familia moja na kukata mawasiliano ya upande mmoja kwenda mwingine. Mwenendo wa hali ya mvua unadaiwa kusababisha vifo vya watu wanne familia moja wanaoishi Mtaa wa Goroka Tuangoma wilayani Temeke, Dar es Salaam waliodondokewa na ukuta wa nyumba…

Read More