Rais Samia awasamehe wafungwa 1,036, wengine waachiwa huru

Dar es Salaam. Wakati Tanzania Bara  ikisherehekea miaka 64 ya uhuru wake, Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza msamaha kwa wafungwa 1,036 baadhi akiwapunguzia adhabu na wengine kuachiwa huru. Kati ya wafungwa hao waliopata msamaha huo wa Rais, 22 wameachiwa huru, huku 1,014 wakipunguziwa adhabu zao na watakabaki gerezani kutumikia sehemu ya vifungo vilivyobaki. Idadi ya…

Read More

Kicheko bei ya petroli, dizeli zashuka Zanzibar

Unguja. Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (Zura), imetangaza kushuka kwa bei za mafuta huku mafuta ya taa yakisalia kwenye bei yake. Kwa mujibu wa taarifa iliyotumwa kwa vyombo vya habari leo Jumanne Desemba 9, 2025 na kuthibitishwa na Meneja wa kitengo cha uhusiano Zura, Mbaraka Hassan Haji, bei hizo zitaanza…

Read More

WADAU WATAKIWA KUZITUMIA KWA USAHIHI TAARIFA ZA HALI YA HEWA

Afisa Mwandamizi ICPAC ambaye ni Mtaalamu anayesimamia nchi kumi na moja Afrika anayeangalia matumizi ya taarifa za hali ya hewa Collision Lore akizungumza katika warsha ya siku tano iliyoandaliwa na kituo cha Utabiri wa Hali ya Hewa na Maombi cha IGAD (ICPAC) inayofanyika katika Kaunti ya Nakuru,Mji wa Naivasha Mkoani Kenya, ……………… NA MUSSA KHALID NAIVASHA,KENYA…

Read More

WANAFUAIKA WENYE ULEMAVU WAELEZA JINSI TASAF ILIVYOBADILISHA MAISHA YAO

Na Said Mwishehe,Michuzi TV WAKATI leo Desemba 9,2025 Watanzania wanasherehekea miaka 64 ya uhuru ni wazi kumekuwepo na hatua mbalimbali za kuendelea kutokomeza umasikini,ujinga na maradhi. Katika kutokomeza umasikini,ujinga na maradhi, Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) umeendelea kuchukua hatua mbalimbali za kuhalikisha inawakomboa wananchi hasa wanaotoka kaya masikini na miongoni mwao wakiwemo watu wenye…

Read More