Askofu Msonganzila alaani Polisi kutumia nguvu kuwatawanya Bawacha
Musoma. Askofu wa Jimbo Katoliki la Musoma, Michael Msonganzila amelaani tukio la Jeshi la Polisi kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wanachama, wafuasi na viongozi Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha) katika eneo la Kanisa Kuu la jimbo hilo mjini Musoma, akisema kitendo hicho kinazidisha chuki kwa jeshi hilo. Akizungumza na waandishi wa habari mjini Musoma…