TLS yataka umakini matumizi ya AI kwenye sheria
Arusha. Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimewataka wanachama wake kuwa makini na matumizi ya teknolojia katika utendaji kazi, hususan Akili Mnemba (AI), ili kunufaika nayo bila kuhatarisha haki, utu na imani ya wananchi wanaohudumiwa. Tahadhari hiyo imetolewa leo Desemba 5, 2025 jijini Arusha na Makamu Mwenyekiti wa TLS, Laetitia Ntagazwa, kwenye Mkutano wa Kawaida wa…