TLS yataka umakini matumizi ya AI kwenye sheria

Arusha. Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimewataka wanachama wake kuwa makini na matumizi ya teknolojia katika utendaji kazi, hususan Akili Mnemba (AI), ili kunufaika nayo bila kuhatarisha haki, utu na imani ya wananchi wanaohudumiwa. Tahadhari hiyo imetolewa leo Desemba 5, 2025 jijini Arusha na Makamu Mwenyekiti wa TLS, Laetitia Ntagazwa, kwenye Mkutano wa Kawaida wa…

Read More

Qorro: Nitaimarisha ushirikiano kuchochea maendeleo ya Karatu

Arusha. Mwenyekiti mpya wa Halmashauri ya Karatu, Engelbert Aloyce Qorro ameainisha vipaumbele atakavyovitekeleza kwa kushirikiana na viongozi wenzake kufikia malengo waliyojiwekea ya kuwaletea wananchi maendeleo. Hayo aliyasema jana, Alhamisi Desemba 4,2025 baada ya kuchaguliwa kwa kura zote 21 za madiwani wote wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)  pamoja na Makamu Mwenyekiti wake, Cyril Placid James kuwa…

Read More

MADINI YA EMERALD YAIBUA MVUTO MPYA WA UWEKEZAJI MKOANI RUKWA

Mkoa wa Rukwa umeendelea kujikita kuwa kitovu kipya cha uchimbaji wa madini ya emerald nchini, huku Serikali na wadau wa sekta hiyo wakihimiza vijana kuchangamkia fursa zinazopatikana katika maeneo mbalimbali ya uchimbaji. Akizungumza mara baada ya kutembelea eneo la Mponda lililopo Wilaya ya Sumbawanga, Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Rukwa, Mhandisi Joseph Kumburu, amesema…

Read More

SMZ kuongeza bajeti ya elimu hadi Sh1 trilioni

Unguja. Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imepanga kuongeza bajeti ya elimu kutoka Sh864 bilioni hadi Sh1 trilioni, ikiwa ni sehemu ya mpango wa kuongeza ubora wa elimu na kuimarisha miundombinu ya sekta hiyo nchini. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi, ametangaza hatua hiyo leo, Desemba 5, 2025, wakati akifungua mkutano mkuu wa 13 wa…

Read More

Meya Zanzibar aapa akisisitiza utunzaji siri za Serikali

Unguja. Meya wa Jiji la Zanzibar, Kamal Abdulsatar Haji amesema atahakikisha anatunza siri za serikali katika utekelezaji wa majukumu yake ili kulinda maadili ya utumishi wa umma huku akisisitiza suala la kuvunja makundi. Hayo ameyasema jana Desemba 4, 2025 katika hafla ya kuwaapisha madiwani wateule uliombatana na uchaguzi wa kumchangua Meya na Naibu wake iliyofanyika…

Read More

Imbeju: Programu Inayozalisha Fursa na Kuunganisha Watanzania na Huduma za Kifedha

   Dar es Salaam – Katika hafla ya Marketers Night Out iliyofanyika jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Bank Foundation, Tully Esther Mwambapa, aliwasilisha mada iliyoangazia kwa kina mchango wa programu ya Imbeju katika kubadilisha maisha ya wananchi, hasa wanawake na vijana, kupitia uwezeshaji wa kiuchumi na kukuza ujumuishi wa kifedha nchini. Akizungumza…

Read More