
ZAIDI YA 1000 KUHUDHURIA MKUTANO WA NYAMA YA NGURUWE DAR
ZAIDI ya wajumbe 1,250 wa kimataifa na ndani wanatarajiwa kuhudhuria mkutano mkuu wa sekta ya nguruwe barani Afrika unaotarajiwa kufanyika nchini kuanzia Septemba 11 hadi 13, mwaka Mkutano huo utafanyika Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam, kuzungumzia hatua muhimu kwa sekta ya ufugaji wa nguruwe inayokuwa kwa kasi nchini. Mkutano huo ulioandaliwa na Chama cha…