Vodacom kuwapa kipaumbele zaidi watu ushirikiano ESG
Dar es Salaam. Kampuni ya simu ya Vodacom Tanzania imeeleza dhamira yake ya kuweka watu mbele katika utekelezaji wa ushirikiano wake wa mfumo wa Mazingira, Jamii, na Utawala Bora (ESG). Hayo yamebainishwa leo Jumanne, Agosti 26, 2025 kwenye uzinduzi wa mfumo jumuishi wa Mazingira, Kijamii na Utawala (ESG) wa Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania…