Wananchi Malinyi walia kukosa huduma za afya

Morogoro. Pamoja na Serikali kutumia usafiri wa anga kutoa misaada ya chakula kwa waathirika wa mafuriko wilayani Kilombero na Malinyi mkoani hapa, wananchi wa Kata za Usangule na Misegese wameomba kupata suluhisho la kudumu la huduma za tiba. Wakizungumza na Mwananchi Digital leo Aprili 27, 2024 wakati wa kupokea misaada iliyoletwa na helikopta ya Jeshi…

Read More

Rais Samia awasamehe wafungwa 1,082

Dar es Salaam. Rais Samia Hassan Suluhu ametoa msamaha kwa  wafungwa 1,082, ikiwa ni katika kuadhimisha miaka 60 ya Muungano wa Tanzania. Rais Samia ametoa msamaha huo kwa kutumia mamlaka  aliyopewa chini ya Ibara ya 45(1)(a)-(d) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya kutoa msamaha kwa wafungwa kwa masharti maalumu. Taarifa hiyo imetolewa…

Read More

GGML yaja na teknolojia za kisasa maonesho ya OSHA Arusha

KATIKA kuelimisha wananchi na washiriki wa maonesho ya usalama na afya mahali pa kazi namna ya kuzingatia usalama wawapo katika shughuli zao, Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imeleta vifaa mbalimbali vya kisasa ili kutoa fursa kwa washiriki hao kujifunza teknolojia za kisasa za uokoaji. Anaripoti Mwandishi Wetu, Arusha… (endelea). Hayo yamebainishwa na Meneja…

Read More

Bakwata kulinda rasilimali zake kidijitali

Dar es Salaam. Ili kudhibiti upotevu wa mali na mapato yake, Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) limeanzisha mifumo ya kidijitali kwa ajili ya kuratibu shughuli zake. Kabla ya matumizi ya mifumo hiyo, Baraza hilo lilikabiliwa na changamoto lukuki katika urasimishaji wa rasilimali zake na wakati mwingine kushindwa kudhibiti ubadhilifu. Hayo yalielezwa jana Ijumaa, Aprili…

Read More

Kaya 902 zaachwa bila makazi Moshi

Moshi. Zaidi ya kaya 902 zimebainika kuathiriwa na mafuriko ya mvua wilayani Moshi, Mkoani Kilimanjaro baada ya kufanyika kwa tathmini ya awali. Mafuriko hayo yalitokea juzi Alhamisi Aprili 25, 2024 baada ya kunyesha kwa mvua kubwa na kusababisha vifo vya watu saba wakiwemo wanne wa familia moja. Hayo yamesemwa leo Jumamosi Aprili 27, 2024 na…

Read More

Polisi yaita wenye taarifa kuhusu kifo cha Zuchy

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi nchini Tanzania limewataka watu wenye taarifa tofauti juu ya ajali ya bodaboda iliyotokea alfajiri ya jana Ijumaa Aprili 26, 2024, eneo la Makonde, mkoani Dar es Salaam na kusababisha kifo cha Noel Mwingira, maarufu Zuchy wazipeleke zifanyiwe kazi. Katika ajali hiyo, dereva bodaboda ambaye jina bado halijafahamika alijeruhiwa na…

Read More