
Burkina Faso yasitisha matangazo ya redio ya BBC na VOA – DW – 26.04.2024
Burkina Faso imesimamisha matangazo ya redio ya Shirika la Utangazaji la Uingereza BBC Afrika na lile linalofadhiliwa na Marekani la Voice of America, VOA, kwa muda wa wiki mbili kutokana na matangazo walioyapeperusha ikilishutumu jeshi kwa mauaji ya kiholela. Soma zaidi. HRW: Vikosi vya jeshi Burkina Faso vimewauwa raia 223 Baraza la mawasiliano la Burkina…