JENERALI MKUNDA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA NAIBU KATIBU MKUU WA UN ANAYESHUGHULIKIA OPERESHENI ZA ULINZI NA AMANI

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob John Mkunda leo amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia Operesheni za Ulinzi wa Amani ( UN Under Secretary General for Peace Operations) Bw. Jean Pierre Lacroix ofisini kwa Mkuu wa Majeshi, Upanga, Jijini Dar es salaam. Katika mazungumzo yao, Bw. Jean…

Read More

RAIS SAMIA AZINDUA KITABU CHA MIAKA 60 YA HISTORIA YA OFISI YA MAKAMU WA RAIS PAMOJA NA KITABU CHA SAFARI ZA PICHA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KWA MIAKA 60

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizindua Kitabu cha Miaka 60 ya Historia ya Ofisi ya Makamu wa Rais kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 24 Aprili, 2024. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wageni pamoja na viongozi mbalimbali kabla ya…

Read More

WAZIRI JAFO AONGOZA VIONGOZI WA MKOA WA DODOMA MAPOKEZI YA VIONGOZI WA DINI WALIOSAFIRI NA TRENI YA MWENDOKASI WAKITOKEA DAR

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo amewaongoza viongozi na wananchi wa Mkoa wa Dodoma katika mapokezi ya viongozi wa dini waliosafiri kwa treni ya mwendokasi wakitokea Dar es Salaam leo Aprili 21, 2024. Viongozi hao wanatarajia kushiriki ibada maalumu ya kuliombea Taifa itakayofanyika katika Uwanja wa…

Read More

ALAT yapewa mbinu kuleta mabadiliko kwa jamii

Unguja. Jumuiya ya Tawala za Mitaa (ALAT) imetakiwa kujipambanua kwa kutetea masilahi ya umma ili kuleta mabadiliko ya kweli kwenye jamii, jambo ambalo limetajwa kuwa litaifanya iweze kuheshimika. Hayo yameelezwa leo Aprili 24, 2024 na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalumu za SMZ, Masoud Ali Mohammed…

Read More

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka Halmashauri zote Nchini kuhakikisha zinatekeleza miradi ya kimaendeleo kwa kufuata sheria na kuzingatia mfumo wa kidigitali wa manunuzi ya UMMA unaosimamiwa na PPRA unaolenga kudhibiti rushwa na kuongeza ushindani kwa kuwapata wazabuni wenye sifa katika utekelezaji wa miradi ya Serikali. Anaripoti Mwandishi Wetu, Morogoro ……

Read More

MBUNGE MTATURU ACHANGIA MABORESHO YA MIUNDOMBINU YA ELIMU

JITIHADA za Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki Mhe Miraji Mtaturu kwa kushirikiana na wanachi zimesaidia kukamilisha kazi ya upauaji wa madarasa mawili katika Shule Shikizi ya Mwitumi hatua itakayoondoa changamoto ya watoto kusafiri umbali wa kilomita 9 na kuvuka mito miwili kufuata shule mama ya Msingi Nkundi. Katika jitihada hizo wananchi walitumia nguvu yao…

Read More