Watu 13 wazuiliwa baada ya kukamatwa na mbuzi wakidaiwa kutaka kutoa dhabihu huko Jerusalem

Watu 13 wamezuiliwa karibu na Mlima wa Hekalu la Jerusalem wakiwa na wana-kondoo na mbuzi ambao walikusudia kuwatoa dhabihu katika ibada ya Kibiblia ya Pasaka, polisi walisema katika taarifa. Katika tukio moja, mbuzi alipatikana akiwa amefichwa ndani ya gari la kubebea watoto, huku mshukiwa mwingine akijaribu kusafirisha mbuzi kwenye eneo la kumweka ndani ya begi…

Read More

13 killed in Somanga road crash

LINDI: A total of 13 people have died in a grisly crash on the Somanga-Kilwa highway Monday, Police said. Lindi Regional Police Commander, Assistant Commissioner of Police (ACP), John Imori said six others had survived injuries after a commuter vehicle crashed with an oil tanker early on Monday. ALSO READ: Why Sub-Saharan Ahmadiyya leaders met…

Read More

Mikoa hii ijipange kwa mvua kuanzia leo

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa angalizo la mvua kubwa na ngurumo kwa mikoa 26 ya Tanzania Bara na visiwa vya Unguja na Pemba kuanzia leo Aprili 22, 2024. Mikoa ambayo inapata mvua leo Aprili 22, 2024 kwa mujibu wa TMA ni Dar es Salaam, Tanga, Pwani, Morogoro, Lindi, Mtwara,…

Read More

DK NCHIMBI: TUTAWAENZI WAASISI KWA KUENDELEZA UTUMISHI KWA WATU

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) , Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amezuru kaburi la Hayati Mzee Constantine Osward Millinga, aliyekuwa mmoja wa waasisi na wapigania uhuru kuanzia wakati wa Tanganyika African Association (TAA), Tanganyika African National Union (TANU), hadi CCM, katika makaburi ya familia yaliyopo, Mtaa wa Mhekela, Mbinga Mjini, mkoani Ruvuma, leo Jumatatu,…

Read More

Benki ya NBC Yazindua Kampeni ya “Shinda Mechi Zako Kinamna Yako” Kuchochea Ukuaji wa Biashara

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua kampeni mpya ya akiba inayofahamika kama “Shinda Mechi Zako Kinamna Yako” mahususi kwa wateja wake wa aina mbalimbali wakiwemo wateja binafsi, waajiriwa, wamiliki wa biashara ndogo na wanafunzi.  Ujio wa kampeni hiyo inayoambatana na zawadi mbalimbali ikiwemo zawadi za gari mbili aina ya BMW x1, unalenga kuimarisha ustawi…

Read More