SERIKALI KUTANGAZA RIPOTI YA SENSA YA WANYAMA NA UTALII KESHO

Na John Mapepele Kesho Serikali inakusudia kutangaza rasmi matokeo ya Sensa ya Wanyamapori na kuzindua taarifa ya Watalii wa Kimataifa walioitembelea Tanzania mwaka 2023 katika mkutano unaojumuisha wadau wa uhifadhi na utalii, utakaofanyika hoteli ya Gran Melia Jijini Arusha. Mkutano huo umeratibiwa na Wizara ya Maliasili na Utalii, ambapo Waziri mwenye dhamana na Wizara hiyo,…

Read More

Singida yalipa Mamilioni ya Fedha kwa stakabadhi bandia

*OR-TAMISEMI ,TRA zapewa ushauri na CAG Na Chalila Kibuda,Michuzi Blog Halmshauri ya Singida mkoani Singida yatumia malipo ya sh. Milioni 147.29 yaliyodhibitishwa na Stakabadhi Bandia ‘Fake’ Kwa Mujibu wa Ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) CPA Charles Kichere pya Mwaka wa Fedha 2023/2023 ilisema kuwa katika ukaguzi alibaini kwa malipo…

Read More

UMASIKINI WADAU WA KUCHANGIA UHARIBIFU WA MAZINGIRA NCHINI

Na Mwandishi Wetu, Morogoro IMEELEZWA kuwa kuna uhusiano mkubwa kati ya umaskini na uharibifu wa mazingira hivyo ni muhimu wadau wa uhifadhi kuendelea kushirikiana na serikali katika kutekeleza miradi mbalimbali ya kiuchumi ili kupunguza uharibu wa mazingira. Kauli hiyo imetolewa na Mshauri wa Maliasili wa Mkoa wa Morogoro ambaye pia ni Ofisa Wanyamapori wa mkoa…

Read More

CBE kuwasaidia wajasiriamali kufikia ndoto zao

Na Mwandishi Wetu CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kinakusudia kuanzisha mafunzo ya uanagenzi kwa wanafunzi wanaosoma shahada ya masuala ya benki, fedha, metrolojia na viwango, ambayo yatawawezesha kusoma huku wakifanyakazi. Akizungumza katika siku ya CBE taaluma na programu atamizi jijini Dar es Salaam Mkuu wa chuo hicho, Profesa Edda Lwoga, amesema lengo ni kuwawezesha…

Read More

Sheria ya Magereza yatajwa chanzo cha manyanyaso kwa wafungwa

Dar/Morogoro. Kauli iliyotolewa na Mkuu wa Jeshi la Magereza, Kamishna Jenerali, Mzee Nyamka kuhusu unyanyasaji wa wafungwa magerezani, imewaibua wadau wa haki za binadamu wakitaka Serikali iwajibike kuchukua hatua za haraka kwa kuwa mambo hayo yameshalalamikiwa sana. Wadau hao wakiwamo wanasheria, wameikosoa Sheria ya Magereza ya mwaka 1967 kuwa imepitwa na wakati na ndiyo chanzo…

Read More