JKCI IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA MATIBABU MAJUMBANI

Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) imeanza kutoa huduma ya kuwafuata  wagonjwa manyumbani mwao na kuwapa tiba ili kupunguza vifo vya ghafla pamoja na kuokoa muda wa kuwapeleka hospitali. Hayo yamesemwa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Dkt. Peter Kisenge wakati akizungumza na waandishi wa habari juu huduma hiyo jijini Dar es Salaam. Dkt. Kisenge amesema huduma…

Read More

ELIMU YA MLIPA KODI ILIVYOMUOKOA MIKONONI MWA MATAPELI

MFANYABIASHARA Marik Ngutti wa Machimbo ya Matabi wilayani Chato Mkoa wa Geita ameeleza namna ambavyo ufuatiliaji wake wa elimu ya mlipa kodi ilivyomnasua kutoka kwenye mikono ya matapeli waliojifanya maofisa Mamlaka ya Mapato (TRA). Ngutti ametoa ushuhuda huo leo Aprili 23, 2024 alipotembelea banda la TRA katika maonesho ya Wakandarasi Geita Mjini kwenye viwanja vya…

Read More

MISAADA MBALIMBALI YAWAFIKIA WANAWAKE WALIOJIFUNGUA NA WATOTO KATIKA KAMBI ZA WAHANGA WA MAFURIKO RUFIJI

Na Mwamvua Mwinyi,Rufiji April 23 Patrick Golwike (Mkurugenzi wa Maendeleo ya Jamii wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Wenye Mahitaji Maalum [WMJJWM]) ameridhishwa na misaada inayoelekezwa na huduma zinazoelekezwa kwa akinamama waliojifungua na watoto waliokumbwa na maafa ya mafuriko Rufiji na Kibiti mkoani Pwani. Aidha amepongeza mkoa,maofisa ustawi wa jamii kata,wilaya na…

Read More

WADAU WA KILIMO IKOLOJIA HAI WAJADILI MPANGO YA MWAKA  2024/25

  Mkurugenzi wa Sera na Mipango wa Wizara ya Kilimo, Obadia Nyagiro,akizungumza wakati wa kikao cha wadau wa Kilimo Ikolojia hai kilichoratibiwa chini ya mwamvuli wa Taasisi za Kilimo Hai Tanzania (TOAM) kilichofanyika jijini Dodoma. Mwenyekiti wa TOAM, Dk.Mwatima Juma,akizungumza wakati wa kikao cha wadau wa Kilimo Ikolojia hai kilichoratibiwa chini ya mwamvuli wa Taasisi…

Read More

RAS ,MRATIBU WA MAAFA PWANI WAPOKEA UGENI KUFANYA UFUATILIAJI WA HUDUMA ZINAZOTOLEWA KAMBI ZA MAFURIKO

Na Mwamvua Mwinyi,RufijiApril 23 Patrick Golwike (Mkurugenzi wa Maendeleo ya Jamii wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Wenye Mahitaji Maalum [WMJJWM]) ameridhishwa na misaada inayoelekezwa na huduma zinazoelekezwa kwa akinamama waliojifungua na watoto waliokumbwa na maafa ya mafuriko Rufiji na Kibiti mkoani Pwani. Aidha amepongeza mkoa,maofisa ustawi wa jamii kata,wilaya na mkoa…

Read More

Bodaboda waeleza mafanikio mafunzo usalama barabarani

MADEREVA bodaboda katika Jiji la Dodoma wameeleza jinsi mafunzo ya elimu ya usalama barabarani yalivyo wafumbua macho na kuwafanya kufahamu sheria mbalimbali za barabarani na hivyo kuendelea na kazi yao wakiwa salama. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Wamesema hayo mbele ya waandishi wa habari waliokuwa wametembelea kijiwe cha bodaboda cha Kijiwe Pesa ambapo baadhi ya bodaboda…

Read More