Mbunge alalama uwezo mdogo wa transifoma

Dodoma. Mbunge wa Viti Maalumu (Chadema), Jesca Kishoa ameitaka Serikali kufunga transifoma zenye ukubwa wa kilovoti 200 hadi 315 ili kukidhi mahitaji ya kuendesha viwanda jimboni Mkalama, mkoani Singida. Amesema hayo leo Alhamisi Aprili 25, 2024 bungeni Dodoma alipouliza swali la nyongeza kuhusu uwezo mdogo wa transifoma zilizoko jimboni humo zenye ukubwa wa kilovoti 50…

Read More

SHINDANO LA BINGWA MSIMU TATU KUWAFIKIA VIJANA MIKOANI

Meneja Masoko wa Kampuni ya Parimatch Levis Paul akizungumza machache mara baada ya Kuzinduliwa kwa Msimu wa tatu wa Shindano la Bingwa ambapo msimu huo Kampuni hiyo ikiwa wadhamini wakuu wa shindano.  Meneja programu wa shindano la Bingwa Ombeni Phiri akieleza namna Shindano hilo litakavyoshirikisha Mikoa mitano ambayo ni Arusha,Mbeya,Mwanza,Dodoma pamoja na Dar es Salaam….

Read More

Mbowe ataka mifumo Tume ya Uchaguzi irekebishwe

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amemtaka Rais Samia Suluhu Hassan kurekebisha mifumo ili kuwe na Tume Huru ya Uchaguzi na Katiba mpya itamkayolinda na kutetea masilahi ya Watanzania wenye hali duni, wakiwemo wafanyabiashara wadogo na wakulima. Amesema hayo alipohutubia mkutano wa hadhara uliofanyika jana Aprili 24, 2024 katika stendi ya zamani ya mabasi mjini Bariadi…

Read More

LENGO LA SERIKALI NI KUBORESHA MAISHA YA KILA MWANANCHI TARAFA YA NGORONGORO-NCAA

Serikali kupitia Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) imesema kuwa ina lengo la kuboresha maisha ya wananchi wa tarafa hiyo kwa kuwaelimisha na kuwahamisha wananchi waliojiandikisha kuhama kwa hiyari kwenda Kijiji cha Msomera Handeni Mkoani Tanga na maeneo mengine nchini. Akizungumza na wananchi wa tarafa ya Ngorongoro kwa nyakati tofauti katika zoezi la uelimishaji, uhamaishaji…

Read More

Mvua zasababisha vifo 155, Majaliwa atoa maelekezo 14

Dar es Salaam. Mvua kubwa za El-Nino zilizoambatana na upepo mkali, mafuriko na maporomoko ya udongo katika maeneo mbalimbali nchini zimesababisha vifo vya watu 155 na wengine 236 kujeruhiwa. Hayo yameelezwa bungeni leo Aprili 25, 2024 katika taarifa ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati wa kipindi cha maswali ya papo kwa hapo kuhusu changamoto za…

Read More

e-BOARD IMETAJWA KURAHISISHA UENDE SHAJI WA VIKAO NA KUPUNGUZA GHARAMA.

Na Mwandishi wetu Matumizi ya Mfumo wa kuwezesha uratibu wa shughuli za uandaaji wa vikao mbalimbali vya bodi na menejimenti katika Halmashauri na Taasisi za Umma. (e-Board), umetajwa kurahisisha uendeshaji wa vikao na kupunguza gharama za maandalizi katika halmashauri ya Manispaa ya Ilemela jijini Mwanza. Akizungumza kuhusu mfumo huo ofisini kwake jijini Mwanza, Mkurugenzi Mtendaji…

Read More