Magari yakwama, madereva walala njiani Kilolo

Iringa. Wakati madereva wakilia kulala njiani baada ya magari yao kukwama, Mbunge wa Kilolo, Justine Nyamoga ameiomba Wakala wa Barabara Mijini na Vijijini (Tarura) kutengeneza maeneno korofi kwa kutumia zege ili barabara ziweze kupitike. Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha, hali ya barabara imezidi kuwa mbaya katika baadhi ya maeneo, jambo linalosababisha magari kukwama na wananchi…

Read More

SERIKALI KUANZISHA MFUMO WA PAMOJA KODI YA JENGO NA ARDHI

Na. Josephine Majura, WF, Dodoma Serikali imesema kuwa inaandaa mfumo wa kielektroniki wa kutoa ankara ya pamoja kwa huduma zinazolandana ili kuondoa usumbufu kwa wananchi wanaostahili kulipa kodi ya jengo na kodi ya ardhi. Hayo yameelezwa bungeni, jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa…

Read More

TANZANIA NA CZECH MBIONI KUONDOA UTOZAJI WA KODI MARA MBILI

Naibu Katibu Mkuu wa Usimamizi wa Uchumi, Wizara ya Fedha Bw. Elijah Mwamdumbya na Mkurugenzi wa Ushirikiano wa Masuala ya Kodi Kimataifa wa Wizara ya Fedha ya Czech aliyeongoza ujumbe wa Czech Bw. Václav Zíka, wakisaini nyaraka za kukamilisha majadiliano, katika kikao kilichofanyika katika ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania jijini Dar es Salaam. Naibu…

Read More

Zaidi ya wanafunzi 100 wamekamatwa huko California, kwenye maandamano ya kupinga vita vya Israel

Polisi nchini Marekani wamewakamata makumi ya waandamanaji katika Chuo Kikuu cha Texas huko Austin (UT Austin) na Chuo Kikuu cha Kusini mwa California (USC) huku maandamano yanayoongozwa na wanafunzi kupinga vita vya Israel dhidi ya Gaza yakizidi kushika kasi nchini kote na Spika wa Bunge Mike Johnson alipendekeza. kuitana Jeshi la Ulinzi la Taifa. Kukamatwa…

Read More

NBC yakabidhi vitanda Shule ya Polisi Moshi

Benki ya NBC imekabidhi msaada wa vitanda 28 kwa Shule ya Polisi Tanzania (TPS) iliyopo Moshi mkoani Kilimanjaro ikilenga kuboresha mazingira ya maladhi kwa wanafunzi wa kike shuleni hapo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Hafla fupi ya makabidhiano ya vitanda hivyo iliyofanyika jana Jumatano shuleni hapo ambapo ilishuhudiwa Meneja wa wa benki ya NBC tawi…

Read More

Mafuriko yasababisha vifo vya zaidi ya watu kumi Nairobi – DW – 25.04.2024

Serikali imeunda kikosi cha dharura kushughulikia janga hilo.Wakati huohuo, idara ya polisi imeendelea na juhudi za uokozi kwa ambao nyumba zao zimefunikwa na maji.  Kulingana na idara ya polisi, miili ya watu wasipungua 13 imepatikana maeneo tofauti tofauti ya mji  Nairobi  kufuatia mvua kubwa inayoendelea kunyesha. 11 imetokea eneo la Mathare, moja Kibera na nyengine mtaani…

Read More

Waliokumbwa maporomoko ya tope Mlima Kawetere watoka kambini

Mbeya. Wakati Serikali ikiendelea kuratibu makazi ya waathiriwa wa maporomoko ya tope linalotoka Mlima Kawetere jijini hapa, waathiriwa hao wameondoka kwenye kambi ya muda katika Shule ya Msingi Tambukareli walikokuwa wamewekwa. Maporomoko hayo yaliyotokea alfajiri ya Aprili 14 mwaka huu katika Kata ya Itezi jijini Mbeya na kusababisha nyumba zaidi ya 20 na Shule ya…

Read More

Mkakati mkubwa wa teknolojia ya kifedha, kuimarisha uwezo wa biashara za wasambazaji wa ndani na wajasiriamali wazinduliwa

Katika mkakati unaolenga kuleta mabadiliko kwenye sekta ya biashara, na kuendeleza upatikanaji wa huduma za kifedha nchini Tanzania kwa ufanisi zaidi benki ya Stanbic Tanzania inashirikiana na Ramani, kampuni namba moja kwenye teknolojia ya kifedha, malengo yakiwa kutumia teknolojia na msaada kubwa ya kifedha, kuimarisha uwezo wa biashara za wasambazaji wa ndani na wajasiriamali. Muunganiko…

Read More

Exim Bank yatoa  vitanda kwa shule ya Jeshi la Polisi Moshi

  BENKI ya Exim imekabidhii  seti ya vitanda kwa Shule ya Jeshi la Polisi Tanzania iliyopo Moshi, mkoani Kilimanjaro kama sehemu ya mchango wa Exim Bank katika jamii ikiwemo ulinzi na usalama wa Watanzania na mali zao. Anaripoti Mwandishi Wetu, Kilimanjaro … (endelea). Akizungumza wakati wa makabidhiano hayo, Mkuu wa Kitengo cha Masoko, Stanley Kafu…

Read More