Ripoti: Ukatili dhidi ya wanaume waongezeka

Dar es Salaam. Katika kipindi ambacho dunia inapambana kukabiliana na vitendo vya ukatili dhidi ya wanawake na watoto, matukio hayo yanachipukia na kuota mizizi dhidi ya wanaume. Kwa mujibu wa Ripoti ya Haki za Binadamu ya mwaka 2023, vitendo vya ukatili kwa wanaume vimeongezeka na kufikia asilimia 10, kutoka asilimia sita ya mwaka 2022. Ripoti…

Read More

Rais Samia Suluhu Hassan Atunuku Nishani Viongozi Mbalimbali

RAIS Samia Suluhu Hassan Atunuku Nishani Viongozi Mbalimbali katika shamrashamra za miaka 60 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimtunuku na kumvalisha Nishani ya Mwenge wa Uhuru Daraja la Pili Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Serikali…

Read More