Vijiji 52 Mvomero kunufaika na mradi wa LTIP

Vijiji takribani 52 katika Wilaya ya Mvomero Mkoani Morogoro vitanufaika na Mradi waUboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi (LTIP) kwa kuandaliwa mipango ya matumizi yaardhi ya vijiji. Hayo yamebainishwa na Mkuu wa Wilaya ya Mvomero Bi. Judith Nguli wakati wa kujadiliutekelezaji wa Mradi huo katika ukumbi wa Halmashauri ya Mvomero, tarehe 22 Aprili 2024 Mkoani…

Read More

Israel military intelligence chief quits over 7 October

ISRAEL: The Israeli military’s intelligence chief has resigned, saying he took responsibility for the failures before Hamas’s attack on Israel on 7 October. The Israel Defense Forces (IDF) said Major General Aharon Haliva would retire once his successor was selected. In a letter, he acknowledged that his intelligence directorate “did not live up to the…

Read More

Makamba ataja maeneo ya kuboresha mambo ya nje

  WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba ametumia takribani saa moja kuelezea maeneo ambayo yatajajadiliwa katika warsha ya Mabalozi wanaowakilisha Tanzania katika nchi mbalimbali duniani inayofanyika katika Chuo cha Uongozi cha Mwalimu Julius Nyerere mjini Kibaha kuanzia tarehe 21 hadi 24 Aprili 2024. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…

Read More

Watu 13 wazuiliwa baada ya kukamatwa na mbuzi wakidaiwa kutaka kutoa dhabihu huko Jerusalem

Watu 13 wamezuiliwa karibu na Mlima wa Hekalu la Jerusalem wakiwa na wana-kondoo na mbuzi ambao walikusudia kuwatoa dhabihu katika ibada ya Kibiblia ya Pasaka, polisi walisema katika taarifa. Katika tukio moja, mbuzi alipatikana akiwa amefichwa ndani ya gari la kubebea watoto, huku mshukiwa mwingine akijaribu kusafirisha mbuzi kwenye eneo la kumweka ndani ya begi…

Read More

13 killed in Somanga road crash

LINDI: A total of 13 people have died in a grisly crash on the Somanga-Kilwa highway Monday, Police said. Lindi Regional Police Commander, Assistant Commissioner of Police (ACP), John Imori said six others had survived injuries after a commuter vehicle crashed with an oil tanker early on Monday. ALSO READ: Why Sub-Saharan Ahmadiyya leaders met…

Read More

Mikoa hii ijipange kwa mvua kuanzia leo

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa angalizo la mvua kubwa na ngurumo kwa mikoa 26 ya Tanzania Bara na visiwa vya Unguja na Pemba kuanzia leo Aprili 22, 2024. Mikoa ambayo inapata mvua leo Aprili 22, 2024 kwa mujibu wa TMA ni Dar es Salaam, Tanga, Pwani, Morogoro, Lindi, Mtwara,…

Read More