Kauli ya Serikali ulipaji fidia katika upanuzi wa barabara

Dodoma. Serikali imesema tathmini iliyofanyika nchini inaonyesha gharama kubwa ya fidia ya mali zilizomo ndani ya eneo la hifadhi ya barabara lililoongezwa la mita 7.5 kila upande,  iko katika majiji na miji. Hayo yamesemwa leo Ijumaa Aprili 19, 2024 na Naibu Waziri wa Ujenzi, Godfrey Kasekenya alipokuwa akijibu swali la msingi la mbunge wa Kibaha…

Read More

Ogolla, CDF wa kwanza kufa madarakani Kenya

Nairobi. Jenerali Francis Omondi Ogolla amekuwa mkuu wa kwanza wa vikosi vya ulinzi nchini Kenya kufariki dunia akiwa madarakani, baada ya ajali ya helikopta iliyoua wanajeshi 10 wa Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF). Rais wa Kenya, William Ruto usiku wa Alhamisi Aprili 19, 2024 alithibitisha vifo hivyo, akitangaza siku tatu za maombolezo na bendera…

Read More

Mambo saba usiyopaswa kufanya baada ya kula

Dar es Salaam. Chakula ni muhimu kwa afya njema na kuna misingi inatakiwa kufuatwa ili kuepukana na madhara yatakayosababishwa baada ya kula chakula. Wataalamu wanaelezea mambo saba ya kuzingatia baada ya kula chakula ili kuepuka muingiliano wa virutubisho vinavyopatikana kwenye chakula na changamoto zinazoweza kusababisha maradhi. Daktari wa binadamu, Erick Shayo anasema Watanzania hawana utamaduni…

Read More

 Wenye nyumba Bonde la Msimbazi washtukiwa kutaka malipo ya wapangaji

Dar es Salaam. Wamiliki wa nyumba zinazoguswa na mradi wa uendelezaji Bonde la Mto Msimbazi wakiwa wameshalipwa fidia na kuanza kuhama, kumeibuka malalamiko ya waliokuwa wapangaji katika nyumba hizo kutolipwa licha ya Serikali kuwaahidi malipo. Kwa mujibu wa Serikali, malipo yamesitishwa kutokana na baadhi ya wahusika kubainika kughushi nyaraka. Katika utekelezaji wa mradi huo unaogharimu…

Read More

 Wenye nyumba Bonde la Msimbazi washtukiwa kutaka kujipatia malipo ya wapangaji

Dar es Salaam. Wamiliki wa nyumba zinazoguswa na mradi wa uendelezaji Bonde la Mto Msimbazi wakiwa wameshalipwa fidia na kuanza kuhama, kumeibuka malalamiko ya waliokuwa wapangaji katika nyumba hizo kutolipwa licha ya Serikali kuwaahidi malipo. Kwa mujibu wa Serikali, malipo yamesitishwa kutokana na baadhi ya wahusika kubainika kughushi nyaraka. Katika utekelezaji wa mradi huo unaogharimu…

Read More