Sababu simu kutumia sana bando bila kujua, fanya hivi kuzuia

Dar es Salaam. Inawezekana simu yako kwa upande wa intaneti ikawa inatumia data (bando) nyingi zaidi bila wewe kufahamu au kutarajia. Baadhi ya watu wanaweza kulalamika wakijiunga vifurushi vinawahi kuisha pengine wasiweze kufahamu, zipo sababu zinazoweza kusababisha simu zao kutumia data nyingi kuliko. Mwananchi kupitia vyanzo mbalimbali vya kurasa za kiteknolojia imekuletea sababu kuu za…

Read More

Uwanja wa Nsekela Kujenga mshikamano wa michezo Kyerwa

Na Diana Byera-Kyerwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera Hajjat Fatma Mwassa amezindua rasmi uwanja wa kisasa wa mpira wa miguu ujulikanao kama Nsekela Stadium uliojengwa na Abdulmajid Nsekela Mwenyekiti wa taasisi ya Abdulmajid Nsekela Foundation. Akizindua uwanja huo uliojengwa Wilayani Kyerwa katika eneo la Rwenkorongo Mkuu wa Mkoa Mwassa amempongeza Abdulmajid Nsekela mzaliwa wa Kyerwa…

Read More

CCM yamteua Kirumbe Naibu Katibu Mkuu Wazazi

Dar es Salaam. Mbunge wa Kigoma Mjini aliyemaliza muda wake, Kirumbe Ng’enda ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Wazazi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara. Ng’enda anaukwaa wadhifa huo, akimrithi Mirumbe Chacha kuwa Katibu wa Uchumi na Fedha wa chama hicho. Taarifa ya uteuzi wa Ng’enda inakuja siku moja baada ya jina lake…

Read More

Chaumma yateua wagombea ubunge, yakacha urais Z’bar

Dar es Salaam. Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kimetangaza kuwa hakitasimamisha mgombea wa urais visiwani Zanzibar, huku kikiweka hadharani awamu ya kwanza ya orodha ya makada wake 119 walioteuliwa kugombea ubunge wa majimbo Tanzania Bara. Uamuzi wa Chaumma kutosimamisha mgombea Zanzibar unakuja katikati ya maswali mengi ya wadau wa siasa, waliohoji ni nani atakayepewa…

Read More

Mchinjita achukua fomu Lindi Mjini, ataka hadhi ya Bunge

Lindi. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha  ACT Wazalendo ( Bara), Isihaka Mchinjita amechukua fomu ya kuwania ubunge Lindi Mjini, akiainisha vipaumbele vyake atakavyovitekeleza endapo ataibuka kidedea. Miongoni mwa vipaumbele hivyo ni kuhakikisha anapambania kurejesha Bunge lenye hadhi ikiwamo kuhakikisha mijadala yote muhimu inayogusa Watanzania na Taifa inajadiliwa katika mhimili huo, na sio kwenye mitandao ya…

Read More