Ajali za helikopta zinavyomaliza vigogo Kenya

Dar es Salaam. Ajali ya helikopta imeondoa uhai wa Mkuu wa Majeshi ya Kenya Jenerali Francis Ogolla leo Aprili 18, 2024. Mbali na Jenerali Ogolla, ajali hiyo pia imepoteza maofisa tisa, huku wengine wawili wakijeruhiwa. Wengine waliofariki katika ajali hiyo ni Brigedia Swaleh Said, Kanali Duncan Keitany, Luteni Kanali David Sawe, Meja George Benson Magondu…

Read More

Asasi ya Agenda yabainisha madhara ya kemikali zilizopo kwenye Plastiki

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizojiunga katika kupunguza matumizi ya plastiki kama njia mojawapo ya kutunza na kuhifadhi mazingira. Katika kutekeleza suala hilo Juni mosi mwaka 2019 Tanzania ilitangaza marufuku ya kutengeneza, kusambaza, kutumia au kutunza mifuko ya plastiki. Katazo hili lilifuatia tangazo lililotolewa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na Waziri wa…

Read More

Wananchi wafunguka mauaji ya mwanafunzi wakati akizikwa

Morogoro.  Maziko ya mwanafunzi wa Chuo cha Mtakatifu Joseph aliyeuawa juzi kwa kuchomwa kisu na mtu asiyejulikana akiwa kwenye eneo la hosteli za chuo hicho, yamefanyika katika makaburi ya Kola, Morogoro. Wakizungumza Leo Alhamisi Aprili 18, 2024 baada ya maziko hayo, baadhi ya waombolezaji wameliomba Jeshi la Polisi mkoani Morogoro  kuhakikisha linamtia mbaroni muuaji. Hajrat…

Read More

Wananchi wafunguka mauaji ya mwanafunzi wakati akizwa

Morogoro.  Maziko ya mwanafunzi wa Chuo cha Mtakatifu Joseph aliyeuawa juzi kwa kuchomwa kisu na mtu asiyejulikana akiwa kwenye eneo la hosteli za chuo hicho, yamefanyika katika makaburi ya Kola, Morogoro. Wakizungumza Leo Alhamisi Aprili 18, 2024 baada ya maziko hayo, baadhi ya waombolezaji wameliomba Jeshi la Polisi mkoani Morogoro  kuhakikisha linamtia mbaroni muuaji. Hajrat…

Read More

Dk Biteko atoa kauli usalama Bwawa la Julius Nyerere

Dodoma. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amesema licha mvua zinazoendelea kunyesha nchini, Bwawa la Kuzalisha Umeme la Julius Nyerere (JNHPP) lipo salama kwasababu limejengwa kisayansi. Mbali na hilo, amesema bwawa hilo linaendelea kuzalisha umeme kupitia mtambo namba tisa huku mitambo mingine miwili ikiwa ukingoni kukamilika. Amesema hayo leo Alhamisi Aprili…

Read More

Muuza maji aliwa na mamba ziwani

Mwanza. Muuza maji na mkazi wa Kijiji cha Busisi Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza aliyefahamika kwa jina moja la Charles, anadaiwa katoweka ziwani baada ya kupitiwa na mamba alipokuwa akichota maji Ziwa Victoria. Tukio hilo limetokea jana Aprili 17, 2024 saa 1:30 usiku akiwa anachoya maji ziwani katika eneo hilo lililopo karibu na mradi wa…

Read More

Wizara yataka wanawake kugombea kwa wingi uchaguzi ujao

Dar es Salaam. Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Mwanaidi Ali Khamis amewataka wanawake kujitokeza kwa wingi kuwania uongozi katika uchaguzi wa Serikali za mitaa na uchaguzi mkuu mwakani ili kufanikisha malengo ya kuwa na usawa wa kijinsia katika nafasi za uongozi. Tanzania ambayo kwa sasa inaongozwa na Rais mwanamke…

Read More

Chalamila atishia kumweka ndani mkandarasi mwendokasi

Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema haridhishwi na kasi ya ujenzi wa barabara ya mabasi yaendayo haraka ya Gongo la Mboto. Amesema kama hali itaendelea hivyo, atamweka ndani mkandarasi au mhandisi mshauri. Ametoa kauli hiyo leo Aprili 18, 2024 alipofanya ziara kukagua ujenzi wa barabara hiyo yenye urefu…

Read More

Sababu Rais Samia kupewa shahada nne za heshima

Dar es Salaam. Uimara katika usimamizi wa sekta fulani na kuwa na mchango katika Taifa lake ni miongoni mwa sababu zilizotajwa na wasomi kuwa chachu ya Rais Samia Suluhu Hassan kutunukiwa shahada ya nne ya heshima ya udaktari. Kwa mujibu wa wasomi hao, mara nyingi shahada hizo hutolewa kwa mtu aliyeonyesha mchango mkubwa katika Taifa…

Read More

Dk Nchimbi atoa agizo Wizara ya Kilimo

Mbeya. Wakati Serikali ya Tanzania ikiendelea kutafuta ufumbuzi wa changamoto ya ardhi ya kilimo wilayani Mbarali, Wizara ya Kilimo imeagizwa kufanya mazungumzo na mmoja wa wamiliki wa mashamba makubwa ili kuachia moja ya maeneo yake kwa ajili wakulima wa Mlonga na Mnazi. Agizo hilo limetolewa leo Alhamisi, Aprili 18, 2024 na Katibu Mkuu wa Chama…

Read More