Sababu Rais Samia kupewa shahada nne za heshima

Dar es Salaam. Uimara katika usimamizi wa sekta fulani na kuwa na mchango katika Taifa lake ni miongoni mwa sababu zilizotajwa na wasomi kuwa chachu ya Rais Samia Suluhu Hassan kutunukiwa shahada ya nne ya heshima ya udaktari. Kwa mujibu wa wasomi hao, mara nyingi shahada hizo hutolewa kwa mtu aliyeonyesha mchango mkubwa katika Taifa…

Read More

Dk Nchimbi atoa agizo Wizara ya Kilimo

Mbeya. Wakati Serikali ya Tanzania ikiendelea kutafuta ufumbuzi wa changamoto ya ardhi ya kilimo wilayani Mbarali, Wizara ya Kilimo imeagizwa kufanya mazungumzo na mmoja wa wamiliki wa mashamba makubwa ili kuachia moja ya maeneo yake kwa ajili wakulima wa Mlonga na Mnazi. Agizo hilo limetolewa leo Alhamisi, Aprili 18, 2024 na Katibu Mkuu wa Chama…

Read More

Makete mpya isiyo na vilio vya misiba tena

Njombe, Makete. Takriban miongo miwili iliyopita ilikuwa ni jambo la kawaida kuzika watu watatu mpaka wanne kwa siku waliofariki kutokana na maambukizi ya virusi vya Ukimwi (VVU) wilayani Makete. Wilaya hiyo ni miongoni mwa zilizoathiriwa zaidi na maambukizi VVU nchini na kupitia wakati usioelezeka, hasa ilipofikia hatua ya viongozi wa kaya (baba na mama) kufariki…

Read More

Hatari ya shisha kwa vijana katika kifua kikuu

Dar/Mikoani. Ni kawaida siku hizi katika kumbi za starehe mijini kukuta mitungi ya shisha juu ya meza, huku watumiaji wakichangia kilevi hicho. Je, unajua kuna uwezekano mkubwa mtumiaji kupata maambukizi ya Kifua Kikuu (TB)? Ijapokuwa hakuna utafiti wa moja kwa moja Tanzania unaoonyesha shisha ni chanzo cha TB, nchini Uswizi kupitia utafiti uliofanywa na Dk…

Read More

Hali tete wajawazito Temeke, uongozi wataja mikakati

Dar es Salaam. Idadi kubwa ya wajawazito wanaopokewa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Temeke imesababisha wachangie kitanda kimoja wawili hadi watatu. Licha ya changamoto hiyo, wajawazito hao, wengi wakiwa ni wenye rufaa wanasema kikubwa kwao ni kupata matibabu ya kibingwa. Hata hivyo, Serikali inafanya jitihada mbalimbali kukabiliana na hali hiyo ikiwa ni pamoja…

Read More

Serikali kupanua mkongo wa Taifa kuboresha mawasiliano

Mwanza. Wakati baadhi ya wananchi wakilalamikia gharama za vifurushi vya intaneti kuwa juu, Shirika la Mawasiliano nchini (TTCL) limeanza kupanua mkongo wa Taifa na kuuongezea uwezo wake ili kufikisha mawasiliano pande zote nchini kwa gharama nafuu. Wakizungumza leo wakazi wa mkoani Mwanza wamesema bei za vifurushi vya intaneti zinawaumiza hasa wajasiriamali wanaofanya shughuli zao mitandaoni….

Read More

Petroli yaadimika Zanzibar, wananchi wapaza sauti

Unguja. Zanzibar inakabiliwa na ukosefu wa mafuta ya Petroli kwa siku mbili mfululizo na kusababisha adha kwa wananchi wanaohitaji nishati hiyo.  Tatizo hilo limeanza Aprili 14, 2024 hadi leo Aprili 16, 2024 vituo vingi vya kuuzia mafuta vimeshuhudiwa vikiwa na idadi ndogo ya wafanyakazi kinyume na ilivyozoeleka. Kutokana na kadhia hiyo, kumesababisha kupanga kwa gharama…

Read More

Polisi yawashikilia watu 21 wakituhumiwa kwa uhalifu

Unguja. Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi linawashikilia watuhumiwa 21 wakidaiwa kujihusisha na matukio ya wizi, uporaji na unyang’anyi wa kutumia mapanga.  Watuhumiwa wamekamatwa baada ya polisi kufanya oparesheni maalumu ya kuwasaka watu wanaojihusisha na matukio ya uhalifu. Akizungumza na waandishi wa habari leo Aprili 16, 2024 ofisini kwake, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi,…

Read More

Petroli yaanza kupatikana, hofu bado Unguja

Unguja. Licha ya huduma ya mafuta ya petrol kuanza kupatikana usiku wa kuamkia leo Jumatano, Aprili 17, 2024 kisiwani Unguja, bado hofu imeendelea kuibuka kutokana na kiasi kidogo kinachodaiwa kupatikana. Kwa takribani siku tatu kuanzia Aprili 14 hadi Aprili 16 Unguja ilikabiliwa na upungufu wa petroli katika vituo vingi vya mafuta, kusababisha adha kwa wananchi…

Read More