Muhimbili yapokea mashine ya uchunguzi saratani ya matiti
Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Hospitali ya Taifa Muhimbili(MNH) imepokea mashine maalumu Mammography aina ya Senographe Pristina 3D yenye thamani ya milioni 800 kwa ajili ya kufanya uchuguzi wa saratani ya matiti. Pia machine hiyo itatumika katika kuwafundishia wataalam na kufanya tafiti mbalimbali. Akizungumza katika hafla ya kupokea mashine hiyo leo Aprili 17, 2024 Dk.Hamad…