
Serikali yaweka wazi juu uraia pacha
Ramadhan Hassan,Dodoma SERIKALI imesema haipo tayari kutumia uraia pacha ila hivi karibuni itaanza kutumia utaratibu wa hadhi maalum ambao utatoa fursa kwa wenye asili ya Tanzania waliopo nje kuchangia nchi yao. Hayo yameelezwa leo Alhamisi Aprili 18,2024 jijini hapa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika,Balozi Mbarouk Nasoro Mbarouk wakati akizungumza…