Serikali yaweka wazi juu uraia pacha

Ramadhan Hassan,Dodoma SERIKALI imesema haipo tayari kutumia uraia pacha ila hivi karibuni itaanza kutumia utaratibu wa hadhi maalum ambao utatoa fursa kwa wenye asili ya Tanzania waliopo nje kuchangia nchi yao. Hayo yameelezwa leo Alhamisi Aprili 18,2024 jijini hapa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika,Balozi Mbarouk Nasoro Mbarouk wakati akizungumza…

Read More

Namna makachero walivyomdaka mwizi wa bastola

Moshi. Mkaguzi Msaidizi wa Polisi, Benedicto Petro aliyeongoza timu ya makachero kuwakamata washtakiwa wa kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha, ameeleza namna walivyomkamata mshtakiwa wa kwanza katika kesi hiyo, Eben Mwaipopo. Mshitakiwa huyo alikamatwa katika Kituo cha Basi cha Bomang’ombe wilayani Hai.  Shahidi ameeleza kuwa, katika mahojiano,  mshitakiwa aliwaeleza alipoificha silaha iliyotumika katika mauaji mkoani…

Read More

Waziri asimulia alivyosaidiwa kusomeshwa na Sokoine

Arusha. “Siku zote nimekuwa nikiamini huyu baba mzalendo wa kweli amekuwa na dhamana kubwa katika maisha yangu, naona Mungu alimtuma ninyanyuke katika familia yetu ya watoto saba,  hakuna mwingine aliyeenda shule zaidi yangu.” Ni nadra kwa kiongozi ambaye amepata mafanikio ya kielimu, kiuchumi na kisiasa kuelezea mapito aliyopitia, lakini si kwa Naibu Waziri wa Madini,…

Read More

Mbowe, Lissu watakavyoongoza maandamano ya amani Chadema

Dar es Salaam. Ikiwa zimepita siku 54 baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kufanya maandamano ya amani katika mikoa ya Dar es Salaam, Mwanza, Mbeya na Arusha, imeandaa mengine ya nchi nzima. Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe na Makamu Mwenyekiti -Bara, Tundu Lissu watashiriki maandamano hayo na ratiba imetolewa ikieleza namna watakavyoyaongoza….

Read More

Ubaruku, Mbarali wafurika kumlaki Dk. Nchimbi

Na Mwandishi Wetu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi amepokelewa kwa shangwe na nderemo na wananchi wa Mbarali, wakiongozwa na vijana waendesha bodaboda, baada ya kuwasili na msafara wake katika Kata ya Ubaruku, Wilaya ya Mbarali, mkoani Mbeya, leo Aprili 18, 2024, akitokea Mbeya Mjini. Dk Nchimbi alisimama kuwasalimia wananchi…

Read More

Galaxy AI Now Supports More Languages with Latest Update – MWANAHARAKATI MZALENDO

    Samsung Electronics Co., Ltd. today announced the upcoming expansion of three new languages for Galaxy AI: Arabic, Indonesian, and Russian, as well as three new dialects: Australian English, Cantonese, and Quebec French. In addition to the 13 languages[1] already available, Samsung empowers even more Galaxy users around the world to harness the power of mobile AI. In addition to these new languages and…

Read More