Naisae Yona Atwaa Taji la Miss Universe Tanzania 2025

Humphrey Shao, Michuzi tv Mrembo Naisae Yona (28) amefanikiwa kutwaa taji la Miss Universe Tanzania 2025 mara baada ya kuwashinda warembo wengine 15 waliokuwa wakichuana naye. Mashindano hayo yalifikia kilele usiku wa kuamkia leo katika ukumbi wa Super Dome Masaki, jijini Dar es Salaam, ambapo Naisae aliibuka mshindi wa jumla na kupewa heshima ya kupeperusha…

Read More

Dk Migiro Katibu Mkuu mpya CCM

Dar es Salaam. Wakati Chama cha Mapinduzi (CCM) kikiteua wagombea ubunge na uwakilishi watakaopeperusha bendera yake katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025, pia kimemteua Dk Asha-Rose Migiro kuwa katibu mkuu wake mpya. Uteuzi huo umetangazwa leo Agosti 23, 2025 na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla, makao makuu ya CCM, jijini Dodoma ikiwa…

Read More

Mjadala kutokomeza ukatili kijinsia kufanyika Zanzibar

Unguja. Zanzibar inatarajiwa kuwa mwenyeji wa mkutano wa saba wa viongozi mbalimbali duaniani kuhusu miji na maeneo salama ya umma, mjadala mkuu ukilenga kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na wasichana. Maeneo mengine yatakayojadiliwa ni namna ya kuanzisha na kuendeleza miji inayotumia teknolojia ya kisasa, kukuza utalii, biashara na uchumi wa buluu. Akizungumza na waandishi wa…

Read More

Rais Samia amteua Makalla RC Arusha

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan leo Jumamosi, Agosti 23, 2025 amemteua Amos Makalla kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha (RC) kuchukua nafasi ya Kenani Kihongosi. Awali, Makalla alikuwa Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) nafasi ambayo Halmashauri Kuu ya CCM, imemteua Kihongosi kuishika. Taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano…

Read More