Serikali yaombwa kusaidia familia iliyoachwa yatima

Mufindi. Baada ya vifo vya wazazi vilivyotokana na ugomvi uliohusisha wivu wa kimapenzi, familia imeiomba Serikali iwasaidie ili watoto 11 walioachwa yatima, baadhi wakiwa bado wanasoma waondokane na hali ngumu ya maisha inayowakabili. Mama wa watoto hao, Elizabeth Kihombo (46), mkazi wa Kijiji cha Ihefu, wilayani Mufindi, mkoani Iringa, aliyetuhumiwa  kumuua mume wake, Philimon Lalika…

Read More

MWANAISHA MNDEME AJITOSA RASMI KUGOMBEA UBUNGE KIGAMBONI KUPITIA ACT-WAZALENDO

Wakili na mwanaharakati wa haki za kijamii, Mwanaisha Mndeme, leo ameonesha dhamira yake ya kuwatumikia wananchi wa Kigamboni kwa kuchukua fomu ya kugombea ubunge wa jimbo hilo kupitia Chama cha ACT-Wazalendo. Zoezi hilo limefanyika katika ofisi za Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni na kushuhudiwa na wafuasi wake waliokusanyika kwa hamasa kubwa kuonyesha mshikamano na matumaini…

Read More

Hatima ya Mpina yamsubiri msajili

Dar es Salaam. Baada ya majadiliano ya saa moja na nusu, hatima ya Luhaga Mpina kugombea urais wa Tanzania kupitia ACT-Wazalendo katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, sasa imo mikononi mwa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, iliyoahidi kutoa uamuzi kabla ya Agosti 27. Hatua hiyo imefikiwa baada ya pande mbili zenye msimamo…

Read More

Mwalimu ataja vigezo wananchi vya kumpima achaguliwe kuwaongoza

Hai. Mtiania wa urais wa Tanzania kwa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu amesema uongozi haupimwi kwa umri bali kwa uwezo wa akili na hofu ya Mungu..Mwalimu ameyasema hayo aliposimama kusalimia wananchi wa mji wa Bomang’ombe waliojitokeza barabarani kumlaki akiwa njiani kuelekea Moshi kutoka Arusha. “Msiniangalie kwa umri wangu, nipimeni kwa uwezo wangu…

Read More

Mgambo waiangukia Serikali ajira za kudumu

Morogoro. Wahitimu wa mafunzo ya awali ya Jeshi la Akiba (mgambo) katika Wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro wameiomba Serikali kuwaangalia kwa jicho la huruma kwa kuwapatia ajira ndani na nje ya wilaya hiyo ili kujikimu kimaisha na kusaidia kuimarisha ulinzi na usalama. Wahitimu hao wametoa ombi hilo leo kwenye hafla ya kufunga mafunzo hayo ya…

Read More

Aliyekuwa DED Kigoma jela miaka 20

Arusha/Kigoma. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kigoma imewahukumu adhabu ya kifungo cha miaka 20 jela, aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma Ujiji, Athuman Msabila na aliyekuwa mhazini wa halmashauri hiyo, Frank Nguvumali baada ya kuwatia hatiani kwa makosa ya kughushi nyaraka na utakatishaji wa fedha. Msabila na washtakiwa wengine 10, wakiwamo maofisa kutoka idara ya fedha…

Read More