Maeneo ya fursa yanayoweza kuwakuza wanawake kiuchumi

Dar es Salaam. Wadau wa maendeleo wamebainisha maeneo muhimu yenye fursa yanayoweza kuongeza ushiriki wa wanawake katika shughuli za kiuchumi, ikiwemo kilimo chenye soko la uhakika ndani na nje ya nchi. Mbali na kilimo, wadau hao wanaweka wazi masuala ambayo yakifanyiwa kazi kikamilifu, yatasaidia wanawake kushiriki ipasavyo katika ukuzaji wa uchumi na kuwa na jamii…

Read More

BALOZI WA MAZINGIRA MOSES ASISITIZA UPANDAJI MITI

………….. Na Mwandishi Wetu, Tunduru Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amempa siku 14 mkandarasi anayetekeleza mradi wa kusafirisha umeme wa msongo wa kilovoti 220 kutoka Songea hadi Mahumbika kupitia Tunduru na Masasi kurejea eneo la mradi na kuendelea na kazi mara moja. Hatua hiyo imechukuliwa kufuatia kutoridhishwa na kasi ya utekelezaji wa mradi huo…

Read More

Rais wa Iran Aonya Nchi Jirani Kuhusu Mashambulizi ya Israel na Marekani

Global Publishers March 7, 2026 0 Comments Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesema kuwa nchi yake haitalenga kushambulia nchi jirani isipokuwa kama mashambulizi dhidi ya Iran yataanzia katika ardhi ya nchi hizo. Akizungumza kuhusu mvutano unaoendelea katika Mashariki ya Kati, Pezeshkian alisisitiza kuwa Iran haina nia ya kuanzisha mashambulizi dhidi…

Read More

Trump Aibuka na Onyo Kali kwa Iran Kuhusu Mashambulizi Leo

Global Publishers March 7, 2026 0 Comments Rais wa Marekani, Donald Trump Rais wa Marekani, Donald Trump, ameionya Iran kuwa itakumbana na mashambulizi makali leo, akidai kuwa nchi hiyo tayari inapata pigo kubwa kutokana na operesheni za kijeshi zinazodaiwa kufanywa kwa ushirikiano kati ya Marekani na Israel. Trump alitoa kauli hiyo kupitia mtandao wake wa…

Read More

Mlipuko wa drone watikisa uwanja wa ndege Dubai

Dar es Salaam. Hali ya taharuki imetanda katika jiji la Dubai huko Falme za Kiarabu baada ya tukio la mlipuko mdogo kuripotiwa karibu na barabara ya kurukia na kutua ndege katika Uwanja wa Kimataifa wa Dubai. Tukio hilo limesababisha kusimamishwa kwa muda kwa baadhi ya safari za ndege. Taarifa za awali zinaeleza mlipuko huo umehusishwa…

Read More

WANANCHI WAHAMASISHWA UPANDAJI MITI WAKATI HUU WA MVUA

  …….. Balozi wa mazingira wa kujitolea Moses Mwakibolwa amewahamasisha wananchi kutumia mvua zinazoendelea kunyesha kupanda miti ili kulinda ikolojia na kupunguza athari za uharibifu wa mazingira nchini. Mwakibolwa amesema wananchi wanapaswa kujenga utamaduni wa kupanda miti kila kunapotokea unyevunyevu ardhini ili kuongeza kasi ya upandaji miti na kulinda mazingira kwa manufaa ya kizazi cha…

Read More