Video: Polisi Yapiga Marufuku Maandamano ya Desemba 9, Yasifanyike Nchi Nzima

Jeshi la Polisi Tanzania limepiga marufuku “maandamano ya amani yasiyo na kikomo,” yaliyotangazwa kufanyika Desemba 9, 2025, likisema yamekosa sifa za kisheria na yanaashiria mipango ya uhalifu unaoweza kuhatarisha usalama wa taifa. Katika taarifa iliyotolewa Desemba 5, 2025 na Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) David Misime, jeshi hilo limesema…

Read More

KAMISHNA BADRU ATOA KONGOLE KWA TIMU ZA NGORONGORO ZILIZOSHIRIKI SHIMMUTA

Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro Bwana Abdul-Razaq Badru amezipongeza timu za Mamlaka hiyo zinazoshiriki mashindano ya Shirikisho la Mashirika ya serikali na Taasisi Binafsi (SHIMMUTA) yanayoendelea mkoani Morogoro kwa kuendelea kulinda na kutangaza taswira ya taasisi hiyo kupitia sekta ya Michezo. Akitoa salamu  alipotembelea timu hiyo kwa niaba  Kamishna Badru, Kaimu…

Read More

Dk Mwigulu asema kuna mchezo unachezwa

Mwanza. Waziri Mkuu wa Tanzania, Dk Mwigulu Nchemba amewaonya vijana wanaochochewa kufanya kuvuruga kufumbua macho akisema kuna mchezo unaochezwa. Dk Mwigulu ametoa onyo hilo leo Ijumaa Desemba 5, 2025 alipozungumza na wakazi wa Kisesa mkoani Mwanza mara baada ya kukagua ofisi ya Mtendaji wa Kata hiyo iliyochomwa moto Oktoba 29, 2025. Dk Mwigulu amesema kama…

Read More

Muungano wa mataifa walaani yaliyotokea Oktoba 29, wasema…

Dar es Salaam. Siku moja baada ya Marekani kueleza azma yake ya kutathmini uhusiano wake na Tanzania, mataifa mbalimbali ya Ulaya na Scandinavia, yenye balozi zake nchini, yamelaani mauaji ya raia katika maandamano ya Oktoba 29, 2025 huku wakizitaka mamlaka kukabidhi miili ya marehemu ili wakazike. Kupitia tamko lao la pamoja, balozi za Uingereza, Canada,…

Read More

Sh385 bilioni kuimarisha miundombinu ya umeme Zanzibar

Unguja. Zanzibar inatarajia kupata mfutiko mkubwa katika sekta ya nishati kufuatia kutiwa saini kwa mradi wa uimarishaji wa miundombinu ya umeme wenye thamani ya Sh385 bilioni, baina ya Shirika la Umeme Zanzibar (Zeco) na kampuni ya Elecmech Switchgears kutoka Dubai. Hafla ya utiaji saini imefanyika leo Ijumaa, Desemba 5, 2025, katika viwanja vya Maisara, Mjini…

Read More

DC MWANZIVA ASHIRIKI UCHIMBAJI MSINGI UJENZI WA SHULE YA MSINGI NA AWALI NAHUKAHUKA B-MTAMA

Jamii Wilayani Lindi imehamasishwa kushiriki kikamilifu katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa katika maeneo yao ikiwemo miradi ya elimu ili kuwezesha miradi hiyo kukamilika kwa wakati na kuleta manufaa kwa jamii husika. Mkuu wa Wilaya ya hiyo Victoria Mwanziva ametoa hamasa hiyo Disemba 4,2025 aliposhiriki na wananchi wa Kata ya Nahukahuka, Kijiji cha…

Read More

WAZIRI SANGU: MADEREVA 800 WAAJILIWA QATAR

Na. OWM-KAM, Dar es Salaam Serikali ya Awamu ya Sita imesema inajivunia ushirikiano wa kidugu ulipo kati yake na Taifa la Qatar ambao umesaidia kukuza diplomasia ya uchumi na upatikanaji wa ajira. Kauli hiyo ya Serikali imetolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Ajira na Mahusiano Deus Sangu wakati wa hafla ya kuadhimisha…

Read More