Walimu wa kujitolea waula Dar

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Walimu 150 wa masomo ya sayansi waliokuwa wakijitolea katika shule mbalimbali za sekondari za Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam wamepewa ajira za mkataba kukabili upungufu uliopo. Juni 2023 Serikali kupitia Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia ilitoa mwongozo unaoelekeza kuwatumia walimu waliohitimu vyuo ambao bado hawajaajiriwa ili kuboresha…

Read More

Takukuru Geita yabaini kasoro kwenye miradi 1,800

Geita. Miradi 1,800 yenye thamani ya Sh7 bilioni iliyofuatiliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani Geita mwaka 2022/23 imebainika kuwa na kasoro zikiwamo za usanifu, ununuzi na baadhi ya fedha za miradi kuhamishiwa kwenye matumizi yasiyohusiana na mradi husika. Hayo yamebainishwa leo Aprili 18, 2024 kwenye kongamano maalumu linaloendelea mjini Geita…

Read More