Mtanzania ateuliwa katibu mkuu mpya wa EAC

Arusha. Mtanzania Balozi Stephen Mbundi ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu mpya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) akichukua Katibu Mkuu wa EAC, Veronica Nduva. Balozi Mbundi ametangazwa leo Jumamosi, Machi 7, 2026 katika Mkutano wa kawaida wa 25 wa wakuu wa nchi za EAC unaofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC). Aidha, Rais wa…

Read More

SBL Wakutana na Waziri wa Kilimo Chongolo Kukuza Kilimo

Waziri wa Kilimo, Daniel Chongolo Kwenye Picha ya Pamoja na Uongozi wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) Na Neema Adrian Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) jana ilikutana na Waziri wa Kilimo, Daniel Chongolo, katika kikao cha kimkakati kilicholenga kuimarisha mnyororo wa thamani wa kilimo nchini, kuwawezesha wakulima na kuchangia maendeleo ya viwanda na…

Read More

Museveni achaguliwa mwenyekiti mpya EAC

Arusha. Rais wa Uganda Yoweri Museveni amechaguliwa kuwa mwenyekiti mpya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwa kipindi cha kuanzia Machi 2026 hadi 2028, akichukua mikoba kwa Rais wa Kenya William Ruto aliyemali muda wake. Museveni amechaguliwa leo Jumamosi, Machi 7, 2026 katika Mkutano wa kawaida wa 25 wa wakuu wa nchi wa EAC unaofanyika katika…

Read More

Museven achaguliwa mwenyekiti mpya EAC

Arusha. Rais wa Uganda Yoweri Museveni amechaguliwa kuwa mwenyekiti mpya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwa kipindi cha mwaka mmoja kuanzia Machi 2026 hadi 2028, akichukua mikoba kwa Rais wa Kenya William Ruto aliyemali muda wake. Museveni amechaguliwa leo Jumamosi, Machi 7, 2026 katika Mkutano wa kawaida wa 25 wa wakuu wa nchi wa…

Read More

BALOZI CP KAGANDA AKUTANA NA BALOZI WA ETHIOPIA KUJADILI USHIRIKIANO KATI YA TANZANIA NA ETHIOPIA

Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe, Kamishna wa Polisi (CP) Mhe. Suzan Kaganda, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Ethiopia nchini Zimbabwe, Mhe. Rashid Mohammed Abdulwahid, ambapo wamejadiliana masuala mbalimbali ya kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na Ethiopia. Katika mazungumzo hayo, Balozi Kaganda aliishukuru Serikali ya Ethiopia kwa kuendelea kudumisha urafiki wa muda mrefu na…

Read More

Mahakama yawaachia huru washtakiwa vurugu Oktoba 29

Mwanza. Watu saba waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya kufanya vurugu wakati wa Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025, wameachiwa huru na Mahakama ya Wilaya ya Magu, mkoani Mwanza, baada ya mahakama kutoridhika na ushahidi uliotolewa dhidi yao. Washtakiwa hao pia walikuwa wakikabiliwa na tuhuma za kuchoma majengo ya Serikali, likiwemo la Mahakama ya Mwanzo Kisesa na…

Read More