Serikali yapinga shauri kufutwa sherehe za Uhuru
Dar es Salaam. Wakati Mahakama Kuu Masjala Kuu Dodoma, ikitarajia kusikiliza shauri la maombi ya kibali cha kupinga uamuzi wa kufuta sherehe za maadhimisho ya Uhuru wa Tanganyika mwaka 2025, Serikali imewasilisha pingamizi la awali ikiomba shauri hilo lifutwe bila kupewa nafasi ya kusikilizwa. Shauri hilo lilifunguliwa na Wakili Peter Madeleka dhidi ya Rais wa…