Serikali yapinga shauri kufutwa sherehe za Uhuru

Dar es Salaam.  Wakati Mahakama Kuu Masjala Kuu Dodoma, ikitarajia kusikiliza shauri la maombi ya kibali cha kupinga uamuzi wa kufuta sherehe za maadhimisho ya Uhuru wa Tanganyika mwaka 2025, Serikali imewasilisha pingamizi la awali ikiomba shauri hilo lifutwe bila kupewa nafasi ya kusikilizwa. Shauri hilo lilifunguliwa na Wakili Peter Madeleka dhidi ya Rais wa…

Read More

LATRA YAKAMATA MAWAKALA WA TIKETI FEKI STENDI YA MAGUFULI

Mkurugenzi Mkuu wa LATRA, CPA Habibu Suluo :::::::::::::: Na Mwandishi Wetu Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imewakamata watu waliokuwa wakijihusisha na uuzaji wa tiketi feki na nauli za kughushi katika Stendi ya Mabasi ya Magufuli, Mbezi Luis, Dar es Salaam.  Hatua hiyo inakuja baada ya uchunguzi wa kina uliofanywa na LATRA kubaini udanganyifu katika…

Read More

MRADI WA FOLUR KUWAINUA KIUCHUMI WANANCHI WA BARA NA KISIWANI

……………. Na Sixmund Begashe – Morogoro Mradi wa Kurejesha Mifumo ya Chakula na Matumizi Bora ya Ardhi ( Food System, Landuse and Restoration Project – FOLUR), unaotekelezwa na Wizara ya Maliasili na Utalii unatarajiwa kuwanufaisha watanzania waliopo Bara na Visiwani, kupitia kilimo cha mpunga kwa kuzingatia matumizi bora ya ardhi na mazingira. Mradi utaimarisha usimamizi…

Read More

MBUNGE CHATO AMTAMBULISHA HADHARANI MWALIMU WAKE

Mbunge wa Jimbo la Chato Kaskazini, Cornel Magembe,akizungumza na wanachama wa Saccos ya walimu Chato Kushoto ni Mbunge wa Jimbo la Chato Kaskazini, Cornel Magembe, akiwa na Mwl. wake Mathias Laurian(kulia) wakiwa katika picha ya pamoja. ………… CHATO MBUNGE wa Jimbo la Chato Kaskazini, Cornel Magembe, amemtambulisha mwalimu wake aliyemfundisha shule ya msingi Rutunguru Muganza…

Read More

TANZANIA YAUNGA MKONO UENDELEVU WA BONDE LA NILE

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imethibitisha kuendelea kulisaidia Bonde la Mto Nile, ikisisitiza kuwa Tanzania inatambua thamani kubwa ya rasilimali maji katika bonde hilo na umuhimu wa usimamizi shirikishi kwa maendeleo ya nchi wanachama. Akizungumza katika mkutano huo uliofanyika tarehe 06 Disemba, 2025 jijini Bujumbura nchini Burundi, Naibu Waziri wa Maji Mhandisi Kundo…

Read More

WADAU WA MTANDAO WA VITUO VYA UBUNIFU NCHINI WAPONGEZWA.

KATIKA kutambua mchango wa wadau waliochangia maendeleo ya ubunifu nchini, Mtandao wa Vituo vya Ubunifu Tanzania (THN), umeandaa hafla rasmi ya kuwapongeza wadau waanzilishi wa ubunifu sambamba na mkutano mkuu wa mwaka wa mtandao huo. Akizungumza katia hafla hiyo jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao huo, Bw. Kiko Kiwanga alisema mtandao huo…

Read More