MHE. RAIS AIPANDISHA HALMASHAURI YA BAGAMOYO KUWA MJI
Na John Mapepele Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameamua kupandisha hadhi ya Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo kuwa Halmashauri ya Mji wa Bagamoyo. Aidha, ameitaka Wizara yake kukamilisha taratibu zote za kisheria ikiwa ni pamoja na kuitangaza katika gazeti za Serikali kukamilika mara moja.Mhe. Mchengerwa ametoa…