WADAU WA UANDAAJI NA USIMAMIZI WA BAJETI KUBORESHA UTENDAJI
Kamishna wa Idara ya Usimamizi wa Deni la Taifa, Bw. Japhet Justine, akiwataka wadau wa Uandaaji na usimamizi wa Bajeti kutoka Wizara, Idara zinazojitegemea, Wakala za Serikali na Sekretarieti za Mikoa kutumia mafunzo waliyopata kuboresha utendaji, wakati wa kufunga mafunzo hayo kwa awamu ya kwanza katika ukumbi wa Kambarage, Treasury Square, jijini Dodoma. Kamishna Idara…