Wawili Wauawa Kwa Kuchomwa Moto Songwe – Global Publishers
Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe limethibitisha tukio la mauaji ya raia wawili wanaosemekana kuwa ni kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), waliouawa kwa kupigwa na kuchomwa moto na wananchi katika Kijiji cha Chafuma, Kata ya Kapele, Tarafa ya Ndalambo, Wilaya ya Momba. Tukio hilo lilitokea Agosti 22, 2025, saa 8:00 mchana. Marehemu hao…