MNZAVA AWASIHI VIJANA KUTOJIHUSISHA NA UHALIFU
Makundi mbalimbali ya Vijana wanajishughulisha na shughuli mbalimbali za kajamii ikiwemo bodaboda wametakiwa kuacha kujihusisha na matukio yenye kuharibu amani ya nchi na badala yake wawe mstari wa mbele katika kuilinda na kuitunza amani iliyopo. Hayo yamesemwa na mbunge wa jimbo la korogwe vijijini Mheshimiwa Timotheo Mnzava katika ziara yake ya kukutana na makundi…