MNZAVA AWASIHI VIJANA KUTOJIHUSISHA NA UHALIFU

  Makundi mbalimbali ya Vijana wanajishughulisha na shughuli mbalimbali za kajamii ikiwemo bodaboda wametakiwa kuacha kujihusisha na matukio yenye kuharibu amani ya nchi na badala yake wawe mstari wa mbele katika kuilinda na kuitunza amani iliyopo. Hayo yamesemwa na mbunge wa jimbo la korogwe vijijini Mheshimiwa Timotheo Mnzava katika ziara yake ya kukutana na makundi…

Read More

Watano wakamatwa ulanguzi wa tiketi Magufuli

Dar es Salaam. Watu watano wamekamatwa wakituhumiwa kulangua tiketi katika ukaguzi uliofanyika na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (Latra) kwenye Kituo Kikuu cha Mabasi cha Magufuli. Watuhumiwa hao walikamatwa Desemba 5 na 6, 2025. Baadhi ya watuhumiwa wanadaiwa kukutwa na tiketi 20 hadi 30 kutoka kampuni tofauti za mabasi, wakiziuza kwa bei kubwa kuliko bei…

Read More

Mfaransa kuwekeza ujenzi Bandari ya Bagamoyo

Dar es Salaam. Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania ( TPA) imesaini hati ya Makubaliano  na Kampuni ya Africa Global Logistics ( AGL) kwa ajili ya usanifu, ujenzi na uendeshaji wa gati mpya tatu katika Bandari ya Bagamoyo. Hati hii ya makubaliano (MoU) imesainiwa leo   Desemba 6, 2025 Makao Makuu ya TPA jijini Dar es…

Read More

Meya Jiji la Mbeya akemea majungu, atao msimamo

Mbeya. Meya Jiji la Mbeya, Dourmohamed Issa amewataka madiwani  kujenga heshima kwa  viongozi wa chama na Serikali kwa kuhepuka majungu, mifarakano na  kuwa sehemu ya kuijenga halmashauri mpya. Katika hatua nyingine ametangaza msamaha kwa wale walio mkosea kwa kufungua ukurasa mpya wa safari ya miaka mitano na kuwahakikisha kutoa ushirikiano. Issa amesema hayo Desemba 5,…

Read More

Watahiniwa 50,769 wafaulu darasa la saba Zanzibar

Unguja. Watahiniwa 50,769 sawa na asilimia 96.94 wamefaulu katika mtihani wa darasa la saba mwaka 2025. Ufaulu umepanda kwa asilimia 0.28 ikilinganishwa na mwaka 2024, ambao asilimia ya ufaulu ilikuwa 96.66. Vilevile, ufaulu wa chini umepungua kwa asilimia 0.28 ikilinganishwa na asilimia 3.34 mwaka 2024, huku ufaulu wa watahiniwa wa jinsi kike ukiwa juu kwa…

Read More

Chalamila ataja mambo sita yanayolalamikiwa na wananchi

Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC), Albert Chalamila ametaja malalamiko sita ya wananchi yanayodaiwa kuongeza chuki baina yao na Serikali, likiwemo suala la utekaji. Mambo mengine ni wananchi kutosikilizwa, ukosefu wa ajira kwa vijana, viongozi kuishi maisha ya starehe, matumizi mabaya ya rasilimali za Serikali na matumizi ya nguvu kupita…

Read More

Polisi yapiga marufuku maandamano Desemba 9

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi nchini, limepiga marufuku maandamano yanayodaiwa kupangwa Desemba 9,2025 nchi nzima, likisema yamekosa sifa za kisheria ya kuruhusiwa kufanyika. Kwa mujibu wa polisi, hadi sasa hakuna barua yoyote iliyofikishwa au kupokelewa na ofisi yoyote ile ya Mkuu wa Polisi Wilaya nchini ya kutoa taarifa kuhusu kufanyika kwa maandamano hayo. Uamuzi…

Read More