Kitambulisho tiketi ya kuingia, kutoka Chanika Mjini

Dar es Salaam. Eneo la Chanika Mwisho maarufu Chanika Mjini ambalo huwa na pilikapilika nyingi za kibiashara na usafiri wa daladala, leo Jumanne Desemba 9, 2025 lina utulivu usio wa kawaida. Mwananchi limepita maeneo hayo ambayo hadi saa 6:00 mchana yamekuwa na ulinzi mkali wa askari wa Jeshi la Polisi, huku kukiwa na vizuizi pande…

Read More

Safari ya jasho, machozi na damu kuutafuta Uhuru wa Tanganyika

Katika karne ya 19, ardhi ya Tanganyika ilijumuisha jamii na makabila mbalimbali, wakiishi maisha ya jadi yaliyokuwa ya wakulima na wafugaji.  Yote haya yalifanyika kabla ya kile kilichoitwa: “Mashindano ya Kugawana Afrika,” (The Scramble for Africa). Mwaka 1885, katika mkutano wa Berlin uliohusu kile kilichoitwa: “Mapatano ya Kugawana Afrika,” nchi za Ulaya ziligawana Bara la…

Read More

Tafakuri ya fursa na changamoto kwa Watanzania

Uhai wa Tanganyika (sasa Tanzania) kama Taifa huru, umetimiza miaka 64, umri ambao ndani yake kuna mkusanyiko wa mafanikio, mitihani na dhoruba. Ndani ya miaka hiyo, Tanganyika ilijenga misingi yake kwa maono ya pamoja na mfumo wa usawa, utu, amani na mshikamano. Katika kipindi hicho, Taifa limepiga hatua kadhaa mbele kimaendeleo na kiuchumi, hata hivyo…

Read More

Rais Samia awasamehe wafungwa 1,036, wengine waachiwa huru

Dar es Salaam. Wakati Tanzania Bara  ikisherehekea miaka 64 ya uhuru wake, Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza msamaha kwa wafungwa 1,036 baadhi akiwapunguzia adhabu na wengine kuachiwa huru. Kati ya wafungwa hao waliopata msamaha huo wa Rais, 22 wameachiwa huru, huku 1,014 wakipunguziwa adhabu zao na watakabaki gerezani kutumikia sehemu ya vifungo vilivyobaki. Idadi ya…

Read More

Kicheko bei ya petroli, dizeli zashuka Zanzibar

Unguja. Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (Zura), imetangaza kushuka kwa bei za mafuta huku mafuta ya taa yakisalia kwenye bei yake. Kwa mujibu wa taarifa iliyotumwa kwa vyombo vya habari leo Jumanne Desemba 9, 2025 na kuthibitishwa na Meneja wa kitengo cha uhusiano Zura, Mbaraka Hassan Haji, bei hizo zitaanza…

Read More

WADAU WATAKIWA KUZITUMIA KWA USAHIHI TAARIFA ZA HALI YA HEWA

Afisa Mwandamizi ICPAC ambaye ni Mtaalamu anayesimamia nchi kumi na moja Afrika anayeangalia matumizi ya taarifa za hali ya hewa Collision Lore akizungumza katika warsha ya siku tano iliyoandaliwa na kituo cha Utabiri wa Hali ya Hewa na Maombi cha IGAD (ICPAC) inayofanyika katika Kaunti ya Nakuru,Mji wa Naivasha Mkoani Kenya, ……………… NA MUSSA KHALID NAIVASHA,KENYA…

Read More