HAYATI MAALIM SEIF AIBUKA KIDEDEA MAHAKAMA YA AFRIKA

Na Seif Mangwangi, Michuzi TV Arusha MAHAKAMA ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCHPR), imekubali malalamiko ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo na Makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar Hayati Maalim Seif Sharifu Hamad na wenzake katika kesi ya msingi waliyoifungua mahakamani hapo mara baada ya uchaguzi Mkuu wa mwaka…

Read More

RAIS NDAYISHIMIYE AWASILI TANZANIA KUSHIRIKI MKUTANO WA 25 JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI ARUSHA.

:::::::::: Rais wa Jumhuri ya Burundi  Évariste Ndayishimiye amewasili katika Uwanja wa Ndega wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) Mkoani Kilimanjaro, kushiriki katika Mkutano wa 25 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) unaofanyika leo tarehe 7 Machi 2026 katika Makao Makuu ya Jumuiya jijini Arusha.  Akiwasili Mkoani humo amepokelewa na…

Read More

Sababu Rais wa Rwanda, DRC kutohudhuria mkutano wa EAC

Arusha. Zikiwa zimebaki dakika chache kuanza kwa mkutano wa 25 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Rais wa Rwanda, Paul Kagame, na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Félix Tshisekedi, hawajawasili jijini Arusha. Katika mkutano huo, jumla ya Wakuu wa Nchi wanane wa Jumuiya ya Afrika Mashariki…

Read More

BoT YAFAFANUA SABABU ZA KUNUNUA NA KUUZA DHAHABU

Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) amesema kuwa hatua ya benki hiyo kununua na wakati mwingine kuuza dhahabu ni utekelezaji wa matakwa ya sheria pamoja na usimamizi madhubuti wa akiba ya fedha za kigeni ya taifa. Akizungumza wakati wa hafla ya futari iliyoandaliwa na benki hiyo, gavana huyo alifafanua kuwa kwa mujibu wa sheria…

Read More