MZUMBE YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI – YATEMBELEA KITUO CHA AFYA MLALI
Machi 5 2025, wanawake wa Chuo Kikuu Mzumbe wameadhimisha Siku ya Wanawake Duniani kwa kufanya matendo ya huruma kwa jamii inayowazunguka kwa kutembelea Kituo cha Afya Mlali kilichopo Wilaya ya Mvomero, mkoani Morogoro. Ikiwa ni sehemu ya kusambaza upendo kwa jamii, wanawake wa Chuo Kikuu Mzumbe wamekabidhi msaada wa vifaa mbalimbali pamoja likiwemo tanki la…